Chukua hii, Tajiri namba moja duniani Elon Musk anadaiwa

Chukua hii, Tajiri namba moja duniani Elon Musk anadaiwa

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Kulingana na Ripoti kutoka @FortuneMag imeeleza kuwa billionea namba moja duniani Elon Musk anakabiliwa na kesi ya Dola Bilioni 258 kwa madai ya kuwa sehemu ya mpango wa piramidi ya cryptocurrency ya LEGO, Ambapo yeye pamoja na kampuni zake za Space X na Tesla, wanashtakiwa na Keith Johnson kutokana na madai ya udanganyifu.

Johnson amesema anataka kuwakilisha wale wote ambao wamepoteza biashara ya pesa katika LEGO tangu Aprili 2019. Na ili kesi ivunjike basi amepewe fidia ya dola bilioni 86, pamoja na uharibifu wa mara tatu wa dola bilioni 172.
 
Kulingana na Ripoti kutoka @FortuneMag imeeleza kuwa billionea namba moja duniani Elon Musk anakabiliwa na kesi ya Dola Bilioni 258 kwa madai ya kuwa sehemu ya mpango wa piramidi ya cryptocurrency ya LEGO, Ambapo yeye amoja na kampuni zake za Space X na Tesla, wanashtakiwa na Keith Johnson kutokana na madai ya udanganyifu.

Johnson amesema a nataka kuwakilisha wale wote ambao wamepoteza biashara ya pesa katika LEGO tangu Aprili 2019. Na ili Kesi iliivunjike basi amepewe fidia ya dola bilioni 86, pamoja na uharibifu wa mara tatu wa dola bilioni 172.
Madeni ni afya ya akili kuchangamsha ubongo namna ya kuyapunguza, kuyalipa na kukabiliana na madeni kwa mbinu zozote ilimradi ziwe halali katika kuitengeneza chapaa.
 
Kulingana na Ripoti kutoka @FortuneMag imeeleza kuwa billionea namba moja duniani Elon Musk anakabiliwa na kesi ya Dola Bilioni 258 kwa madai ya kuwa sehemu ya mpango wa piramidi ya cryptocurrency ya LEGO, Ambapo yeye pamoja na kampuni zake za Space X na Tesla, wanashtakiwa na Keith Johnson kutokana na madai ya udanganyifu.

Johnson amesema anataka kuwakilisha wale wote ambao wamepoteza biashara ya pesa katika LEGO tangu Aprili 2019. Na ili kesi ivunjike basi amepewe fidia ya dola bilioni 86, pamoja na uharibifu wa mara tatu wa dola bilioni 172.
Anatafuta ulaji tu hana lolote. Musk mtu wa deal ila hili siliamini.
Sema mjanja mjanja sasa hivi anataka kukimbia deal la twitter labda wampinguzie bei lakini kuna kipengele kinambana kuwa asipoinunua lazima alipe kiasi flani.
 
We Elon musk umejua juzi huyo jamaa wamarekani wengi hawampendi kuna interview moja kahojiwa mpaka analia kuhusu fitna anazofanyiwa na wamarekani wazawa kumbuka ana asili ya south Africa hizo taarifa inawezekana ikawa ni zengwe tu wanamtafutia ili wamtoe kwenye ramani.
 
Hizo figure una uhakika nazo?
Maana Hilo unaloita deni ni zaidi ya utajiri wake Kwa maana ya net worth!
 
Achana na hayo mambo, sasa hivi nimeona video Hamisa Mobetu anatingisha tako kwenye Singeli we acha tu. Namna ile lazima mafala waibiwe
 
Back
Top Bottom