Imagine me and yougood night super villain
🤣🤣🤣 kuna mda huwa naota nachat na watu humuSaizi utakua unaona mirage tu mapicha picha kibao usije uka restore simu 😀😀
huyu sidhan kama kakosa tuzo😃Huyu jamaa anazini huku kashika bible na amevaa nguo ya padre
Haha hizi bangi huwa unazivutia wap🤣🤣😂Ngoja nikimbilie huku mara moja
motoooo motoooo haleluyaaaa.Holy ghost fireeeé!pepo tokaaaaa.....achana na Gily ni maneno ya mkosaji tu hayo
Wow.Imagine me and you
I do I think about you all the time
It's only right
To think of girl you love and treat her right
so happy together
I could call you up
invest a dime......View attachment 2624702View attachment 2624703
😂 Na ile sauti yake ya kwanzaAmina.
Sipati picha vigelegele.vya da Joannah viyakuaje siku hiyo😂
Mambo yatakuwa pambe Sana😃😃😃😂 Na ile sauti yake ya kwanza
Ili mradi vurugu tu unabadili viwanjaHaha hizi bangi huwa unazivutia wap🤣🤣😂
siku zote, mama DDr hyperkid🙏
Niombew tu kwakeeli nashindwa achaNatuma salamu kwa wanangu wa faida
Santos06 sema badilisha ID yako
Nourhan haha unataka kila mtu ajue mimi ni mwarabu unaharib😀 sijakupigia leo simu nilikuw busy kidoho
Dahan Beauty and the Beast😀
moneytalk great friend
Antonnia popote alipo namtakia kheri anyway maji mengi tho aache kununa😀
Mwachiluwi unatakiwa umrudie Yesu au Mtume Mohammed😀 acha bangi kabisa
mshamba_hachekwi tafuta mademu wa Umri wako
Glenn kwaila se😃
wengine wengi tu mnajijua
Asante mrembo uje unitembelee naumwaNatuma salami Kwa best zangu Hawa Glenn Mwachiluwi Dahan Lovelovie To yeye Half american ila wewe hunitajagi najikomba tu To yeye naomba maongezi na wewe kipenzi utakuwa na msaada kwangu , JamiiForums na @Moderators wote wa jf kazi iendelee na Samia wetu suluhu hasan wamama wote?
😀 😀 😀 nazipokea salamu hizo kwa mikono na miguuNachukua nafasi hii kutuma salamu zangu Kwa Mzee wa kupambania Kilimbatz Melki the Storyteller na mzee wa nyash Equation x
I mean no malice to nobody, Sera zetu 👉 Panga mkononiOowwwhh thank you dear... Niko poa...
Intelligent businessman, Darlin, Jane Msowoya bro National Anthem , DeepPond stow away na ile team yetu.. Salaam kwenu wakuu.. ✌
Hahahaa Evelyn kwa hy ndo nimekosa seat?Natuma salam kwa Asprin ujumbe wangu namwambia gari bovu huvutwa na gari zima.....