Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
wE Da'Vinci WEWE..!! Kwamba mic imefunikwa?? Embu fafanuaThank you! Thank you, thank you, thank you 🌹
Mimi mzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wE Da'Vinci WEWE..!! Kwamba mic imefunikwa?? Embu fafanuaThank you! Thank you, thank you, thank you 🌹
Mimi mzima
Kheee..!! We Clepatina, mbona umenishtua sana..!!!???Bahati gani bro ujue mi sipendi wanaume😂
Na mimi nakusalimia Sista. Umejua sana kupotea yaani.Ooh bwoooy! This can't do! It's been forever but my bags are still intact kwa safari....niko poa sana missed you
Huyu Clepatina um-send off kwenda wapi na hapendi wanaume?Sawa ila jitahud ndugu zako tuku send off
Ajapata chaguo la moyo bado ila akipata lazima tule ubwabwaHuyu Clepatina um-send off kwenda wapi na hapendi wanaume?
Hapa bro umembandikia maneno mdomoni kwake..!! Clepatina kasema hapendi wanaume na si kwamba hajapata chaguo..!!Ajapata chaguo la moyo bado ila akipata lazima tule ubwabwa
Hey Gily! Ni aje?Hi 👋 ☺️
I am doing great. just wanted to say 👋 hi 👋 ☺️Hey Gily! Ni aje?
Gily mtu poa sana.... Jf Member wengi wana mu appreciate.......😊😊Kuna viumbe vinatujua kuliko tunavyojijua hahha if u have no friend here, chukua muda kutengeneza mmoja, Nakama wewe ni Me usitengeneze urafiki na Ke kwani mda wote wanahic kuwa unataka kutongozana au mapenzi penzi
NAKAMATA MIC NATUMA SALAMU KWA
Gily soon na story nashuka nalo stay tuned
Wengine tutameet huko mbele
Chukua MiC tuma salaamu
Nipo rafiki mpendwa, tunapishana pishana sana, si unajua mji wa JF ni mkubwa sana?Hey Shunie salama?
binti kiziwi upo?
Sharamdala sijakuona kitambo ujuwe..!! Upo salama?
Mamy K umepotelea wapi? Nakusalimu
Glenn hivi upo kweli?
Peterrabbit a.k.a Sungura, mzima wa afya?
Niko Poa kabisa mwamba.Hey Shunie salama?
binti kiziwi upo?
Sharamdala sijakuona kitambo ujuwe..!! Upo salama?
Mamy K umepotelea wapi? Nakusalimu
Glenn hivi upo kweli?
Peterrabbit a.k.a Sungura, mzima wa afya?