Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Kwa Heshima Na taadhima naomba kuja Pm[emoji7][emoji7][emoji7]Asante sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Heshima Na taadhima naomba kuja Pm[emoji7][emoji7][emoji7]Asante sana.
Amen InshAllah wakati wa Mungu ukifikaAjapata chaguo la moyo bado ila akipata lazima tule ubwabwa
Usishtuke dear nilikua namtania tu kaka yangu Half american maana yeye na dada yangu Joannah wakiona tu mtu ananichekea wananiambia eti nachezea bahati ya kuolewa mara ntakuja kujuta.So nimewaambia hivyo labda wataniacha mpaka wakati wa Mungu ukifika nitaolewa.Kheee..!! We Clepatina, mbona umenishtua sana..!!!???
Nataka kuitwa ankoUsishtuke dear nilikua namtania tu kaka yangu Half american maana yeye na dada yangu Joannah wakiona tu mtu ananichekea wananiambia eti nachezea bahati ya kuolewa mara ntakuja kujuta.So nimewaambia hivyo labda wataniacha mpaka wakati wa Mungu ukifika nitaolewa.
Kuwa na subra broNataka kuitwa anko
Mpaka lin Dada mdogo au unataka maanko wanisalimie Babu😅Kuwa na subra bro
Wewe umejuaje kama huu Sio wakati wa Mungu?😃😃😃😃Usishtuke dear nilikua namtania tu kaka yangu Half american maana yeye na dada yangu Joannah wakiona tu mtu ananichekea wananiambia eti nachezea bahati ya kuolewa mara ntakuja kujuta.So nimewaambia hivyo labda wataniacha mpaka wakati wa Mungu ukifika nitaolewa.
Msumbufu huyu nyie😁😁😁Mpaka lin Dada mdogo au unataka maanko wanisalimie Babu😅
Huyu itabid tumuwekee kikao kabla hatujaanza kuandika getini tunauza barafu na hakuna mbwa mkaliWewe umejuaje kama huu Sio wakati wa Mungu?😃😃😃😃
Habadiliki tangu mtoto n msumbufuMsumbufu huyu nyie😁😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣Kikao kikaliwe haraka sanaHuyu itabid tumuwekee kikao kabla hatujaanza kuandika getini tunauza barafu na hakuna mbwa mkali
Utaniua kwa presha bro!,😂😃Mpaka lin Dada mdogo au unataka maanko wanisalimie Babu😅
Haraka sisi ndio resque team 😂🤣🤣🤣🤣🤣Kikao kikaliwe haraka sana
Hivi nyie siku nikiolewa mtalia kwa kuondoka kwangu home kweli nyie?😂Wewe umejuaje kama huu Sio wakati wa Mungu?😃😃😃😃
Sawa Dada Kila lenye heriUtaniua kwa presha bro!,😂😃
Soon kabla hujawa babu I promise
😂😂😂Huyu itabid tumuwekee kikao kabla hatujaanza kuandika getini tunauza barafu na hakuna mbwa mkali