Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
😀 ngoja niitike mara tatuWait, what??? Gily Gily GilyNakuita mara tatu 🥺ðŸ˜ðŸ˜‚
nimekuja unasemaje dearest🙂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀 ngoja niitike mara tatuWait, what??? Gily Gily GilyNakuita mara tatu 🥺ðŸ˜ðŸ˜‚
Unataka mwanaume mwenye ushetani mwingi halafu unakemea kwa Jina la Yesu🤣🤣🤣🤣😂😂😂
Hatutafikia huyo kwa jina la Yesu
Mi mzima wa afya..!! Za huko Sinzeriii..!! 😂 😂 😂Salama we mzee habari ya wewe
yuko busy na aunty KelseaHalf american sijaona ukituma salamu kwa mpwa wako mshamba_hachekwi
Kumbe bado..!! Jamani Jimbo hili lipo wazi..!!Usishtuke dear nilikua namtania tu kaka yangu Half american maana yeye na dada yangu Joannah wakiona tu mtu ananichekea wananiambia eti nachezea bahati ya kuolewa mara ntakuja kujuta.So nimewaambia hivyo labda wataniacha mpaka wakati wa Mungu ukifika nitaolewa.
Nimekanwa wallah..!!Hajaniwekea maneno.
Anajua kuna tofauti ya kutopenda wanaume na kutokua na hisia/vutiwa na wanaume.
Na wewe ujatuma salamu kwangu vipi?yuko busy na aunty Kelsea
jikaze, wanaume hawasalimiwi 😂Na wewe ujatuma salamu kwangu vipi?
Siku hizi naishi kijijini tumeshazeeka mjini tumewaachia wenye mji wenu [emoji23]Mi mzima wa afya..!! Za huko Sinzeriii..!! [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Really 😀Ningekuja tatizo sijui jins ya kwenda PM kwa mtu
kijana umekua mwanaharakati 😂Really 😀
I am patient 😌 I can wait
Happy to hear that.Really 😀
I am patient 😌 I can wait