Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Nanini?Asante mrembo uje unitembelee naumwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nanini?Asante mrembo uje unitembelee naumwa
ralia mpenzi nina sindano kesho ndio namalizaNanini?
Ralia ndio NiniMa
ralia mpenzi nina sindano kesho ndio namaliza
Maralia mpenziRalia ndio Nini
Nanini?
Kichwa kikubwa kama midoli yakoMpaka nimesikia raha nazipokea salamu hizi kwa mikono miwili😍😍😍
wivu tu huo. Nimetumiwa salamu na mtoto mzuri😀😀Kichwa kikubwa kama midoli yako
Ahhaah wivu upi sasa wewe kila dem unamtaka ngoja nije nimwambie shemeji 😂wivu tu huo. Nimetumiwa salamu na mtoto mzuri😀😀
Ahahah embu toa location leo tunaenda kuangalia mpira wapi yanga wakifunga 3Leejay49 si kamchagua half american😀
Sina kinyongo
Mi nishaungama😀😀My wangu [emoji3059][emoji8] umewaza kama mimi [emoji1787]
Sina urafiki na watu wa yanga😀Ahahah embu toa location leo tunaenda kuangalia mpira wapi yanga wakifunga 3
Lenie chukua hela hapo mezani, Kisha muite mpwa wangu Leejay49 , mwambie aende kwenye duka la mangi Gily anunue mahitaji ya leo. Patakuwa na ugeni mkubwa sana, maana Joannah kasema anamleta rasmi Equation x aje tumtambue, kwa maelezo niliyopata, huyu mkwe wetu ni mchanganyiko wa mbegu ya kiafrika na ulaya, kiufupi ni Half american , amesoma, anaelimu nzuri ya biashara, vijana wa mjini wanasema ni Intelligent businessman , sio maneno yangu hayo ni To yeye mwenyewe ndio kasema.
Hakikisha taarifa zinafika kwa majirani zetu Lovie Lady na Nourhan ili waje kusaidia kupika, maana Lovelovie peke yake hatoweza. Ila usialike watu wengi, Watu8 wanatosha. Mwambie Mzee wa kupambania ahakikishe tunapata matent, maana mvua inaweza kunyesha.
Pia kama una namba ya Depal plz mpigie, nasikia ni mpambaji mzuri sana. Ila usisahau kumkubusha Dejane aje in time, aje na dada yake Nuzulati , kuhusu Antonnia Sina shaka, maana yeye ndio mc.
Amehlo na Shunie nimesikia watakuja na upande wa mume. Dahan ni camerawoman leo, mwambie apige picha nzuri, na kuhusu malipo yake, asijali because I am The Boss
Kwahiyo leo unanikataa?Sina urafiki na watu wa yanga😀
Nimechelewa kuzipata salamu zako baada ya radio yangu ya Mkulima kuisha Betri tangu Juzi 🤪@natuma salamu kwa babu wa kupuliza Grahams na ndugu wa mbali Intelligent businessman zwenge ndaba Santos06
Sawa babu nakuja kukusalimu wiki ijsyo niandalie mabogaNimechelewa kuzipata salamu zako baada ya radio yangu ya Mkulima kuisha Betri tangu Juzi 🤪
Hata hivyo nimefarijika sana, kupata salamu hizi, maana Kijiji Chote kilikuwa hapa kwangu kusikiliza salamu zako 🙌
All in all ubarikiwe Mkuu wangu🙏