Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
kama uko yanga nakutaa😀Kwahiyo leo unanikataa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama uko yanga nakutaa😀Kwahiyo leo unanikataa?
Hahaha.......alafu mwaka huu nimevuna maboga mengi sana ila nimekosa wateja,Sawa babu nakuja kukusalimu wiki ijsyo niandalie maboga
Bora unikataeee tu yanga naipenda sanakama uko yanga nakutaa😀
Ahahaha duku langu la mafuta nilikute mzeeHahaha.......alafu mwaka huu nimevuna maboga mengi sana ila nimekosa wateja,
kuna mzungu alikuja kutudanganya hapa Kijijini kuwa atahitaji maboga tani 100, saivi tumevuna tunampigia simu anakazi ya kuongea Kiingereza tu "I will come, I will come" 🙌
kumbe we mjanjaBora unikataeee tu yanga naipenda sana
😍😍😍😍😍 asante Mpaji MunguNatuma salamu kwa Bantu Lady
🙏...... avatar 😁😍😍😍😍😍 asante Mpaji Mungu
Sana bbukumbe we mjanja
Salama Mkuu, vipi hali yako NgalikihinjaHey Shunie salama?
binti kiziwi upo?
Sharamdala sijakuona kitambo ujuwe..!! Upo salama?
Mamy K umepotelea wapi? Nakusalimu
Glenn hivi upo kweli?
Peterrabbit a.k.a Sungura, mzima wa afya?
Napenda kutuma salamu kwa raraa reree Extrovert To yeye cocastic Lucas mwashambwa Mpwayungu Village Mshana Jr UMUGHAKA simjui hata mmoja ila wote mnanifurahisha kwa post au comment zenu.
Ukimtumia wewe yatoshaHalf american sijaona ukituma salamu kwa mpwa wako mshamba_hachekwi
Bas huyo hafaiNi mtu ila ananiita a stone hearted beast bro
Pole zake umesikia shutuma lakini anaumwa Nini??anaumwa hii siku ya pili kweli kabisa hatanii🙂
Malaria pole Huko ni Dar kawaida mwaya utapona Mungu yupoMaralia mpenzi
Kumbe yanga??mie ni chimba ???Sina urafiki na watu wa yanga😀
Salama kabisa..!! Vipi ushakamata mic?Salama Mkuu, vipi hali yako Ngalikihinja
Asante boss wa michongo Mwachiluwi a.k.a mwanafunzi wa boarding@natuma salamu kwa babu wa kupuliza Grahams na ndugu wa mbali Intelligent businessman zwenge ndaba Santos06