Chukua MIC na utume Salamu

Au Vatican kabisa, yaani tusafishwe vema tukirudi huko full mabaraka tunakua good girls 🥰
Sema nyie mkirudi tu, mtakutana tena na uzi mwingine utakaowapa mawazo mengine..!! Mtakuwa na kazi ya ruti ya Tanzania, Vatican, Tanzania Vatican, mkirudi tu tena, Tanzania Vatican...!!!
 
wanangu wa bugarika mkuyini nyakato
 
😂😂😂
Kumbe na wewe bingwa wa kutuma salamu mpaka unalowesha mike nusu ipige shoti kwa mate Lenie na yule shosti ako mwenzenu huyu jikusanyeni niwatumie nauli mje kutubu huku
 
Haya ungana na wenzako mje kutubu
Kwamba waje kutubu kwa muanzisha uzi WA MIC..!! Dah..!! Wallah tutafika motoni hoiii..!!! Haya mamdogo Amehlo, Lenie na dada To yeye muungamishaji yupo tayari, nendeni. Sema kwa ninavyomjua muungamishaji, andaeni jibu la swali la mmetumia mic ngapi na za aina gani kutuma salamu mpaka sasa. Na mmetuma salamu kwa wangapi..!! Kama MIC zinajaa kwenye SAULI semeni tu..!!
 
😂😂😂 Na style walizokaa kipindi salamu zinatumwa
 
😂😂😂 Na style walizokaa kipindi salamu zinatumwa
Ukute na viungo visivyohusika kwenye kutuma salamu, vimesuswa nyuma hukooo..!! Ingewezekana wangevinyofoa kabisa viwekwe kwenye friza..!! Sema shida umeme wetu huu, kama unakatika hadi bungeni, kwenye friza zetu ndo hatari mwisho viungo vioze bure..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…