Chukua MIC na utume Salamu

Nisiwachoshe msinichoshe Salamu zingine ningependa zimfikie UMUGHAKA na Ally mpemba na Jinn Farah sijui Farhat na bodaboda wote wa Bunju 😁 salamu zingine zimfike SteveMollel bado kalala ana block watu 😁vp au Amiri kafanya yake πŸ˜‚ salamu zingine zimuendee pettymagambo Mafisango Chama nasema lolote limkute na Yunge wake hawezi kutuacha na arosto πŸ˜‚
 
Nashkuru sana kwa hizi salamu. Nimezipokea kwa mikono miwili 😍😍😍

Nawakumbusha wadau, hiyo order/mpangilio wa hayo majina wala wasiutilie maanani, kwani hauna maana yoyote πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…