Chukua MIC na utume Salamu

Chukua MIC na utume Salamu

Nisiwachoshe msinichoshe Salamu zingine ningependa zimfikie UMUGHAKA na Ally mpemba na Jinn Farah sijui Farhat na bodaboda wote wa Bunju 😁 salamu zingine zimfike SteveMollel bado kalala ana block watu 😁vp au Amiri kafanya yake 😂 salamu zingine zimuendee pettymagambo Mafisango Chama nasema lolote limkute na Yunge wake hawezi kutuacha na arosto 😂
 

Attachments

  • Screenshot_20230412-065914_1.jpg
    Screenshot_20230412-065914_1.jpg
    26.2 KB · Views: 2
Nashkuru sana kwa hizi salamu. Nimezipokea kwa mikono miwili 😍😍😍

Nawakumbusha wadau, hiyo order/mpangilio wa hayo majina wala wasiutilie maanani, kwani hauna maana yoyote 😅😅
 
Back
Top Bottom