Chukua tahadhari unapoingia katika mahusiano na wanawake hawa

Chukua tahadhari unapoingia katika mahusiano na wanawake hawa

Joined
Nov 6, 2016
Posts
77
Reaction score
271
CHUKUA TAHADHARI KUBWA UNAPOJIINGIZA KWENYE KAHUSIANO NA WANAWAKE WAFUATAO.

Na Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA

1. MWAMAMKE ALIYEKO KWENYE MSONGO WA MAWAZO
Unapojiingiza katika mahusiano na mwanamke ambae ana msongo wa mawazo unakuwa umeanza kujiingiza kwenye shida, mwanamke aliyepo kwenye matatizo hana uamuzi sahihi kuhusu uhusiano, mara nyingi anaingia kwenye mahusiano na mtu kwa hasira au akiwa anatafuta faraja

2. MWANAMKE ALIYE KATIKA MCHAKATO WA UTAFUTAJI
Mara nyingi hawa ni wale ambao wametoka vyuoni au vijijini wameingia mjini, aina hii ya wanawake wanakuwa na matarajio makubwa sana, wanakuwa kama mbuzi, wanaona majani ya mbele ni kijani zaidi kuliko wanayokula, hawa wanawake akishaanza uhusiano na wewe anaanza kujiuliza mbona Juma ana hela sana, anataka tena na Juma.

3. WANAWAKE WALIOKATA TAMAA
Kuna wanawake wamekata tamaa kiasi kwamba haoni tumaini mbele yake, wakati mwingi hufikiria kwamba kuna jambo baya litamtokea, hawa ni wale waliokutana na wanaume wabaya, wakawafinyia mambo mabaya, au jamii yao ina tabia za kunyanyasa wanawake, huna la kufanya na huyu kila utakalofanya anahisi ni la ubaya.

4. MWANAMKE MWENYE AKILI ZA KIMASIKINI/ MVIVU/ MZEMBE/ MJINGA
Kundi hili ni pana zaidi kuna wanawake akili zao ni ndogo kiasi kwamba kuwa na uhusiano nae ni kama umejiingiza kwenye kambi ya jeshi, hawa hawaelewi chochote, hawezi kuconect dot, hajui nini cha kufanya, hajui kutatua changamoto hakawii kusahau, ukiwa na mwanamke wa hivi unakuwa mwalimu tena wa chekechea.

Ndimi
Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
 

Attachments

  • IMG_20240428_142419_377.jpg
    IMG_20240428_142419_377.jpg
    1.4 MB · Views: 21
CHUKUA TAHADHARI KUBWA UNAPOJIINGIZA KWENYE KAHUSIANO NA WANAWAKE WAFUATAO.

Na Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA

1. MWAMAMKE ALIYEKO KWENYE MSONGO WA MAWAZO
Unapojiingiza katika mahusiano na mwanamke ambae ana msongo wa mawazo unakuwa umeanza kujiingiza kwenye shida, mwanamke aliyepo kwenye matatizo hana uamuzi sahihi kuhusu uhusiano, mara nyingi anaingia kwenye mahusiano na mtu kwa hasira au akiwa anatafuta faraja

2. MWANAMKE ALIYE KATIKA MCHAKATO WA UTAFUTAJI
Mara nyingi hawa ni wale ambao wametoka vyuoni au vijijini wameingia mjini, aina hii ya wanawake wanakuwa na matarajio makubwa sana, wanakuwa kama mbuzi, wanaona majani ya mbele ni kijani zaidi kuliko wanayokula, hawa wanawake akishaanza uhusiano na wewe anaanza kujiuliza mbona Juma ana hela sana, anataka tena na Juma.

3. WANAWAKE WALIOKATA TAMAA
Kuna wanawake wamekata tamaa kiasi kwamba haoni tumaini mbele yake, wakati mwingi hufikiria kwamba kuna jambo baya litamtokea, hawa ni wale waliokutana na wanaume wabaya, wakawafinyia mambo mabaya, au jamii yao ina tabia za kunyanyasa wanawake, huna la kufanya na huyu kila utakalofanya anahisi ni la ubaya.

4. MWANAMKE MWENYE AKILI ZA KIMASIKINI/ MVIVU/ MZEMBE/ MJINGA
Kundi hili ni pana zaidi kuna wanawake akili zao ni ndogo kiasi kwamba kuwa na uhusiano nae ni kama umejiingiza kwenye kambi ya jeshi, hawa hawaelewi chochote, hawezi kuconect dot, hajui nini cha kufanya, hajui kutatua changamoto hakawii kusahau, ukiwa na mwanamke wa hivi unakuwa mwalimu tena wa chekechea.

Ndimi
Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
Ongezea na mwanamke mwenye bleach
 
CHUKUA TAHADHARI KUBWA UNAPOJIINGIZA KWENYE KAHUSIANO NA WANAWAKE WAFUATAO.

Na Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA

1. MWAMAMKE ALIYEKO KWENYE MSONGO WA MAWAZO
Unapojiingiza katika mahusiano na mwanamke ambae ana msongo wa mawazo unakuwa umeanza kujiingiza kwenye shida, mwanamke aliyepo kwenye matatizo hana uamuzi sahihi kuhusu uhusiano, mara nyingi anaingia kwenye mahusiano na mtu kwa hasira au akiwa anatafuta faraja

2. MWANAMKE ALIYE KATIKA MCHAKATO WA UTAFUTAJI
Mara nyingi hawa ni wale ambao wametoka vyuoni au vijijini wameingia mjini, aina hii ya wanawake wanakuwa na matarajio makubwa sana, wanakuwa kama mbuzi, wanaona majani ya mbele ni kijani zaidi kuliko wanayokula, hawa wanawake akishaanza uhusiano na wewe anaanza kujiuliza mbona Juma ana hela sana, anataka tena na Juma.

3. WANAWAKE WALIOKATA TAMAA
Kuna wanawake wamekata tamaa kiasi kwamba haoni tumaini mbele yake, wakati mwingi hufikiria kwamba kuna jambo baya litamtokea, hawa ni wale waliokutana na wanaume wabaya, wakawafinyia mambo mabaya, au jamii yao ina tabia za kunyanyasa wanawake, huna la kufanya na huyu kila utakalofanya anahisi ni la ubaya.

4. MWANAMKE MWENYE AKILI ZA KIMASIKINI/ MVIVU/ MZEMBE/ MJINGA
Kundi hili ni pana zaidi kuna wanawake akili zao ni ndogo kiasi kwamba kuwa na uhusiano nae ni kama umejiingiza kwenye kambi ya jeshi, hawa hawaelewi chochote, hawezi kuconect dot, hajui nini cha kufanya, hajui kutatua changamoto hakawii kusahau, ukiwa na mwanamke wa hivi unakuwa mwalimu tena wa chekechea.

Ndimi
Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
Comrade hiyo picha umeweka blichii au edit

Andiko zuri sana
 
Andiko zuri Comrade, kumbe kuna baadhi ya UVCCM mmebaki mna akili huko mlipo!
 
Ogopaaa sana single mother,wengi waoo wanastress sana. Halafu mbaya kuliko hutaka mtoto ulomkuta utunzee kuliko baba yake.Nilimpata mmja akataka mwanae nimsomeshee private hahahaa! Nilikubali nikala mzigo kama miezi 3 nikatafuta tukio la kututawanyishaaa.

Nilinunua kondom afu mojaa nikachana Mojmbili nikawa kama nmezitumia nikaziweka suluali nikajisahulishaaa weeee aliwaka nikakazaaa,funga kazii nikaja nachupi mtumba kwenye begii hahaaa alibebaa vyakee et wivu hahahaa.
 
COMRADE ILO BLEACH KICHWANI KAMA PACOME KIDEVU HICHO CHA GUEDE, HONGERA🙌
 
mbona kama wanawake 95% wako hivyo. Mtaalam ongeza nyama bro
 
Back
Top Bottom