The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Wenye bleach mna waonea tu. Wengi wao hua shida ni low budget. Hawezi ku afford kusuka, Hapendi wigi lkn anataka kupendezaOngezea na mwanamke mwenye bleach
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye bleach mna waonea tu. Wengi wao hua shida ni low budget. Hawezi ku afford kusuka, Hapendi wigi lkn anataka kupendezaOngezea na mwanamke mwenye bleach
Yaani wewe kisirani sanaOgopaaa sana single mother,wengi waoo wanastress sana. Halafu mbaya kuliko hutaka mtoto ulomkuta utunzee kuliko baba yake.Nilimpata mmja akataka mwanae nimsomeshee private hahahaa! Nilikubali nikala mzigo kama miezi 3 nikatafuta tukio la kututawanyishaaa.
Nilinunua kondom afu mojaa nikachana Mojmbili nikawa kama nmezitumia nikaziweka suluali nikajisahulishaaa weeee aliwaka nikakazaaa,funga kazii nikaja nachupi mtumba kwenye begii hahaaa alibebaa vyakee et wivu hahahaa.
HiChi ndio ccm nachokiweza,ila sio kuongoza nchiCHUKUA TAHADHARI KUBWA UNAPOJIINGIZA KWENYE KAHUSIANO NA WANAWAKE WAFUATAO.
Na Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
1. MWAMAMKE ALIYEKO KWENYE MSONGO WA MAWAZO
Unapojiingiza katika mahusiano na mwanamke ambae ana msongo wa mawazo unakuwa umeanza kujiingiza kwenye shida, mwanamke aliyepo kwenye matatizo hana uamuzi sahihi kuhusu uhusiano, mara nyingi anaingia kwenye mahusiano na mtu kwa hasira au akiwa anatafuta faraja
2. MWANAMKE ALIYE KATIKA MCHAKATO WA UTAFUTAJI
Mara nyingi hawa ni wale ambao wametoka vyuoni au vijijini wameingia mjini, aina hii ya wanawake wanakuwa na matarajio makubwa sana, wanakuwa kama mbuzi, wanaona majani ya mbele ni kijani zaidi kuliko wanayokula, hawa wanawake akishaanza uhusiano na wewe anaanza kujiuliza mbona Juma ana hela sana, anataka tena na Juma.
3. WANAWAKE WALIOKATA TAMAA
Kuna wanawake wamekata tamaa kiasi kwamba haoni tumaini mbele yake, wakati mwingi hufikiria kwamba kuna jambo baya litamtokea, hawa ni wale waliokutana na wanaume wabaya, wakawafinyia mambo mabaya, au jamii yao ina tabia za kunyanyasa wanawake, huna la kufanya na huyu kila utakalofanya anahisi ni la ubaya.
4. MWANAMKE MWENYE AKILI ZA KIMASIKINI/ MVIVU/ MZEMBE/ MJINGA
Kundi hili ni pana zaidi kuna wanawake akili zao ni ndogo kiasi kwamba kuwa na uhusiano nae ni kama umejiingiza kwenye kambi ya jeshi, hawa hawaelewi chochote, hawezi kuconect dot, hajui nini cha kufanya, hajui kutatua changamoto hakawii kusahau, ukiwa na mwanamke wa hivi unakuwa mwalimu tena wa chekechea.
Ndimi
Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
CHUKUA TAHADHARI KUBWA UNAPOJIINGIZA KWENYE KAHUSIANO NA WANAWAKE WAFUATAO.
Na Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
1. MWAMAMKE ALIYEKO KWENYE MSONGO WA MAWAZO
Unapojiingiza katika mahusiano na mwanamke ambae ana msongo wa mawazo unakuwa umeanza kujiingiza kwenye shida, mwanamke aliyepo kwenye matatizo hana uamuzi sahihi kuhusu uhusiano, mara nyingi anaingia kwenye mahusiano na mtu kwa hasira au akiwa anatafuta faraja
2. MWANAMKE ALIYE KATIKA MCHAKATO WA UTAFUTAJI
Mara nyingi hawa ni wale ambao wametoka vyuoni au vijijini wameingia mjini, aina hii ya wanawake wanakuwa na matarajio makubwa sana, wanakuwa kama mbuzi, wanaona majani ya mbele ni kijani zaidi kuliko wanayokula, hawa wanawake akishaanza uhusiano na wewe anaanza kujiuliza mbona Juma ana hela sana, anataka tena na Juma.
3. WANAWAKE WALIOKATA TAMAA
Kuna wanawake wamekata tamaa kiasi kwamba haoni tumaini mbele yake, wakati mwingi hufikiria kwamba kuna jambo baya litamtokea, hawa ni wale waliokutana na wanaume wabaya, wakawafinyia mambo mabaya, au jamii yao ina tabia za kunyanyasa wanawake, huna la kufanya na huyu kila utakalofanya anahisi ni la ubaya.
4. MWANAMKE MWENYE AKILI ZA KIMASIKINI/ MVIVU/ MZEMBE/ MJINGA
Kundi hili ni pana zaidi kuna wanawake akili zao ni ndogo kiasi kwamba kuwa na uhusiano nae ni kama umejiingiza kwenye kambi ya jeshi, hawa hawaelewi chochote, hawezi kuconect dot, hajui nini cha kufanya, hajui kutatua changamoto hakawii kusahau, ukiwa na mwanamke wa hivi unakuwa mwalimu tena wa chekechea.
Ndimi
Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
Hii ni just fvck and enjoy the living
Unakuwa makini unaishia kukwea mnazi daily hao uliowataja ndio wapo mtaani just JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala and enjoy the living