124 Ali JF-Expert Member Joined Apr 25, 2010 Posts 7,813 Reaction score 5,514 Jan 20, 2015 #41 Fundisi Muhapa said: Uhepe wapi mtu wangu?! Soma bandiko #26 na #27 . Hii mambo imejadiliwa huko. Jitahidi uwe unasoma uzi wote ndo uchangie sheikh. Click to expand... Sheikh ni kweli nimefanya udhaifu wa kutosoma mpaka mwisho !niwie radhi muungwana!wengi tumeona post ya jamaa baada ya kuhaririwa.niwie radhi mkuu!
Fundisi Muhapa said: Uhepe wapi mtu wangu?! Soma bandiko #26 na #27 . Hii mambo imejadiliwa huko. Jitahidi uwe unasoma uzi wote ndo uchangie sheikh. Click to expand... Sheikh ni kweli nimefanya udhaifu wa kutosoma mpaka mwisho !niwie radhi muungwana!wengi tumeona post ya jamaa baada ya kuhaririwa.niwie radhi mkuu!
Fundisi Muhapa JF-Expert Member Joined Nov 25, 2013 Posts 4,422 Reaction score 2,112 Jan 20, 2015 #42 124 Ali said: Sheikh ni kweli nimefanya udhaifu wa kutosoma mpaka mwisho !niwie radhi muungwana!wengi tumeona post ya jamaa baada ya kuhaririwa.niwie radhi mkuu! Click to expand... Yote heri mradi umeelewa. Maana sheikh ulikuja kasi ajabu kumbe ulifukia matuta 🙂) Na mimi nimehariri kuepusha ajali zingine huko mbele. Pamoja sana.
124 Ali said: Sheikh ni kweli nimefanya udhaifu wa kutosoma mpaka mwisho !niwie radhi muungwana!wengi tumeona post ya jamaa baada ya kuhaririwa.niwie radhi mkuu! Click to expand... Yote heri mradi umeelewa. Maana sheikh ulikuja kasi ajabu kumbe ulifukia matuta 🙂) Na mimi nimehariri kuepusha ajali zingine huko mbele. Pamoja sana.