Chukua yanayokufaa

Maneno ya kujifariji tu!

Maisha yanatesa Sana nyie!

Watu wanateseka kama aliyewaumba kawasusa!kuna vitu unajiuliza ULE msoto wote ule matokeo ndio Haya!!?

BINADAMU watapishana Sana KWA waganga wa kienyeji kuumia zaidi kama Aliyewaumba ataendelea kuwanunia kama nionavyo Mimi!

Maandiko,misemo HAIWEZI kuponya mioyo ya watu Zaidi ya kujifariji!

Zaidi ya kumsingizia SHETANI aliyeumbwa na Mungu mwenyewe ILI abebe lawama zake mwenyewe aliyemuumba!!

Tusidanganyane WAKUU!

TUSUBIRI tuje tumuulize kwamba "SISI tulikuwa specimens KWA majaribio yapi!!?
 
Chukua inayokufaa
 
Take it easy - But take it !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…