Chukueni hii; Wekeza katika sekta ya usafirishaji upige pesa

Chukueni hii; Wekeza katika sekta ya usafirishaji upige pesa

The ice breaker

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2023
Posts
880
Reaction score
1,985
Wakuu Leo nataka niwaiibie hii Lonja kuhusu fursa ya usafirishaji haswa Kwa hili jiji la dar es salaam.

Yaani kiufupi ni hivi, kama unataka kuwekeza kwenye biashara ya uhakika na upige pesa hapa mjini embu Fanya biashara ya usafirishaji, either ujikite kwenye kusafirisha watu au ufanye kazi ya kusafirisha mizigo kutoka eneo moja kwenda lingine, ni wew tu utakavyo amua na Bado utapiga pesa.

Ukitaka kujua kuwa hili, angalia jinsi watu wanavyo pata shida kwenye swala la usafiri iwe asubuhi, mchana , tena jiona ndio balaaa Zaid, Yani demand ni kubwa mno kuliko supply.. watu wanasumbuka sana kwenye kupata usafiri, hii inaonesha soko limezidiwa na wateja, Good example angalia mwendo Kasi..

So unaweza ukawekeza kwenye kwenye bajaji, boda boda, Kuna hizi Toyo za miguu mitatu, ukiwa nazo hizo utabeba sana mizigo, Yani huwezi kulala njaaa..

Changamoto Huwa hazikosekani, kwahyo hapo ni wewe tu.

Leo naomba niishie hapa, next time nitaeleza strategies nzuri za kupiga pesa kutumia bajaji, boda na toyo.

All In all, sekta Bado Ina gap kubwa sana.
 
Wakuu Leo nataka niwaiibie hii Lonja kuhusu fursa ya usafirishaji haswa Kwa hili jiji la dar es salaam.

Yani kiufupi ni hivi, kama unataka kuwekeza kwenye biashara ya uhakika na upige pesa hapa mjini embu Fanya biashara ya usafirishaji, either ujikite kwenye kusafirisha watu au ufanye kazi ya kusafirisha mizigo kutoka eneo moja kwenda lingine, ni wewe tu utakavyoamua na bado utapiga pesa.

Ukitaka kujua kuwa hili, angalia jinsi watu wanavyopata shida kwenye suala la usafiri iwe asubuhi, mchana , tena jiona ndio balaaa zaidi, Yani demand ni kubwa mno kuliko supply. Watu wanasumbuka sana kwenye kupata usafiri, hii inaonesha soko limezidiwa na wateja, Good example angalia mwendokasi.

So unaweza ukawekeza kwenye kwenye bajaji, bodaboda, kuna hizi Toyo za miguu mitatu, ukiwa nazo hizo utabeba sana mizigo, yani huwezi kulala njaa.

Changamoto huwa hazikosekani , kwahiyo hapo ni wewe tu.

Leo naomba niishie hapa, next time nitaeleza strategies nzuri za kupiga pesa kutumia bajaji, boda , na toyo ,

All In all, sekta Bado ina gap kubwa sana.
 
Ni kweli ndugu yangu, juzi nilitoa mzigo fulani kutoka sehemu a kwenda b , ilikua ni ndani ya dakika 50 lakini jamaa alichukua 85,000, mafuta aliweka ya 12,000 njiani polisi alipewa 5000 tu, kwa hio ndani ya saa moja aliweka 50,000 mfukoni.
 
Wakuu Leo nataka niwaiibie hii Lonja kuhusu fursa ya usafirishaji haswa Kwa hili jiji la dar es salaam.

Yani kiufupi ni hivi , kama unataka kuwekeza kwenye biashara ya uhakika na upige pesa hapa mjini embu Fanya biashara ya usafirishaji, either ujikite kwenye kusafirisha watu au ufanye kazi ya kusafirisha mizigo kutoka eneo moja kwenda lingine, ni wew tu utakavyo amua na Bado utapiga pesa.

Ukitaka kujua kuwa hili, angalia jinsi watu wanavyo pata shida kwenye swala la usafiri iwe asubuhi, mchana , tena jiona ndio balaaa Zaid, Yani demand ni kubwa mno kuliko supply.. watu wanasumbuka sana kwenye kupata usafiri, hii inaonesha soko limezidiwa na wateja, Good example angalia mwendo Kasi..

So unaweza ukawekeza kwenye kwenye bajaji, boda boda, Kuna hizi Toyo za miguu mitatu, ukiwa nazo hizo utabeba sana mizigo, Yani huwezi kulala njaaa..

Changamoto Huwa hazikosekani , kwahyo hapo ni wewe tu..

Leo naomba niishie hapa, next time nitaeleza strategies nzuri za kupiga pesa kutumia bajaji, boda , na toyo ,

All In all, sekta Bado Ina gap kubwa sanaaaa.
Tatizo linakuja kwenye ambitions, wengine bila kuingiza 500k kwa siku maisha hayaendi..
 
Wakuu Leo nataka niwaiibie hii Lonja kuhusu fursa ya usafirishaji haswa Kwa hili jiji la dar es salaam.

Yaani kiufupi ni hivi, kama unataka kuwekeza kwenye biashara ya uhakika na upige pesa hapa mjini embu Fanya biashara ya usafirishaji, either ujikite kwenye kusafirisha watu au ufanye kazi ya kusafirisha mizigo kutoka eneo moja kwenda lingine, ni wew tu utakavyo amua na Bado utapiga pesa.

Ukitaka kujua kuwa hili, angalia jinsi watu wanavyo pata shida kwenye swala la usafiri iwe asubuhi, mchana , tena jiona ndio balaaa Zaid, Yani demand ni kubwa mno kuliko supply.. watu wanasumbuka sana kwenye kupata usafiri, hii inaonesha soko limezidiwa na wateja, Good example angalia mwendo Kasi..

So unaweza ukawekeza kwenye kwenye bajaji, boda boda, Kuna hizi Toyo za miguu mitatu, ukiwa nazo hizo utabeba sana mizigo, Yani huwezi kulala njaaa..

Changamoto Huwa hazikosekani, kwahyo hapo ni wewe tu.

Leo naomba niishie hapa, next time nitaeleza strategies nzuri za kupiga pesa kutumia bajaji, boda na toyo.

All In all, sekta Bado Ina gap kubwa sana.
Tunaomba strategy za kumiliki bjaji
 
Kusema ukweli hizi ndizo tunazosema biashara ya kwenye makaratasi: hapa nitaongea kwa uzoefu baada ya kumaliza chuo nilipata kazi ya mkatana kama miaka mitatu, kisha nikarudi kitaa nilichokifanya ni kupiga driving mwez moja na kupata leseni. Kisha nikanunua bajaji nikaingia road naomba nikwambie haya
Jambo muhimu kabisa ni kwamba ili pesa yako hata ulionunulia boda au bajaji irudi uwe dereva mwenyewe ukiwapa hawa vijana wanaonyoa viduku umelia, maaan kila wakat bosi chombo imeharibika, bosi nmekamatwa na trafik bosi leo hali ni mbaya yaan ukiona tu simu yake ni presha na hili lipo kwa wenye usafiri wte hata mabasi kama kampuni yako ni changa n presha juu ya presha. Sasa kwa uzoefu wangu nilijifunza haya yafuatayo
  1. Ili uweze kufaidika na hii biashara angalau chombo chako kiwe kipya maana yake wew service yako ni kubadili oil na kupiga miguu griss lakini pamoja na hapo kumbuka bajaji mpya ni milioni 8.5 hadi mil 9, sasa hapo waza mpka uje urudishe hizo ml tisa ni lini
  2. Kama una bajaji used au boda used pesa utakuwa unapata saana lakini ukienda kufanya service utaambiwa mara piston za kwenye master zimeisha, mara chain imeisha mara miguu inapata joto ukitoka hapo nusu ya akiba ulioweka imeisha.
  3. Kumbuka kuna changamoto hazikosekani kama sehem ya biashara kuna siku hauna upepo unaweza kulaza 30k tu kuna TRA 100K Kuna latra kuna MATRAFIK kuna kulipia kijiwe. Kumbuka katika pesa unayopata mfano umelaza 80k lazima utoe 20 ya mafuta kwa bajaj mpya
  4. Nimeendesha bajaji dar kiwango cha kulaza faida huwa ni elf hamsini hadi themanini kama kuna mtu anaendesha bodaboda au bajaji analaza laki ake anikosoe na kumbuka bajaj n nyingi kama utitiri na unaondoka kwa foleni kijiweni
  5. Nikaona dar hapalipi nikaenda morogoro bado changamoto ni zile zile na hapo nilikuwa naendesha mwenyewe. Hivyo kila biashara na changamoto yake.
 
Kusema ukweli hizi ndizo tunazosema biashara ya kwenye makaratasi: hapa nitaongea kwa uzoefu baada ya kumaliza chuo nilipata kazi ya mkatana kama miaka mitatu, kisha nikarudi kitaa nilichokifanya ni kupiga driving mwez moja na kupata leseni. Kisha nikanunua bajaji nikaingia road naomba nikwambie haya
Jambo muhimu kabisa ni kwamba ili pesa yako hata ulionunulia boda au bajaji irudi uwe dereva mwenyewe ukiwapa hawa vijana wanaonyoa viduku umelia, maaan kila wakat bosi chombo imeharibika, bosi nmekamatwa na trafik bosi leo hali ni mbaya yaan ukiona tu simu yake ni presha na hili lipo kwa wenye usafiri wte hata mabasi kama kampuni yako ni changa n presha juu ya presha. Sasa kwa uzoefu wangu nilijifunza haya yafuatayo
  1. Ili uweze kufaidika na hii biashara angalau chombo chako kiwe kipya maana yake wew service yako ni kubadili oil na kupiga miguu griss lakini pamoja na hapo kumbuka bajaji mpya ni milioni 8.5 hadi mil 9, sasa hapo waza mpka uje urudishe hizo ml tisa ni lini
  2. Kama una bajaji used au boda used pesa utakuwa unapata saana lakini ukienda kufanya service utaambiwa mara piston za kwenye master zimeisha, mara chain imeisha mara miguu inapata joto ukitoka hapo nusu ya akiba ulioweka imeisha.
  3. Kumbuka kuna changamoto hazikosekani kama sehem ya biashara kuna siku hauna upepo unaweza kulaza 30k tu kuna TRA 100K Kuna latra kuna MATRAFIK kuna kulipia kijiwe. Kumbuka katika pesa unayopata mfano umelaza 80k lazima utoe 20 ya mafuta kwa bajaj mpya
  4. Nimeendesha bajaji dar kiwango cha kulaza faida huwa ni elf hamsini hadi themanini kama kuna mtu anaendesha bodaboda au bajaji analaza laki ake anikosoe na kumbuka bajaj n nyingi kama utitiri na unaondoka kwa foleni kijiweni
  5. Nikaona dar hapalipi nikaenda morogoro bado changamoto ni zile zile na hapo nilikuwa naendesha mwenyewe. Hivyo kila biashara na changamoto yake.
Changamoto, lakini kwa bei uliyonunulia na hela ya kulaza vinaendana au tunasma inalipa.. Hata kama umenunua bajaj milioni 10, ukiweza kulaza wastan wa elfu 50 daily, that means kwa mwezi ni milioni 1 na laki 5, mwaka ni milioni 18. Toa milioni 3 kwa sababu ya dharura, kuna siku ulikosa, service na mengineyo, maana yake kwa mwaka unapiga si chini ya milioni 15, ndanj ya mwaka hela yako ya bajaji isharudi na faida juu, na chombo bado imara, vitu vya kichina hivyo vinaenda sawa miaka mi5 na kusonga mbele, hivyo ukipiga miaka 3 hivi. Inakuwa umepiga milioni 45 na ukiamua kuiuza bajaj unauza bei poa.

Kikubwa komaa kwenye saving, jibane kwenye matumizi yako.. Jipe mwaka utaona mabadiliko.
 
Changamoto, lakini kwa bei uliyonunulia na hela ya kulaza vinaendana au tunasma inalipa.. Hata kama umenunua bajaj milioni 10, ukiweza kulaza wastan wa elfu 50 daily, that means kwa mwezi ni milioni 1 na laki 5, mwaka ni milioni 18. Toa milioni 3 kwa sababu ya dharura, kuna siku ulikosa, service na mengineyo, maana yake kwa mwaka unapiga si chini ya milioni 15, ndanj ya mwaka hela yako ya bajaji isharudi na faida juu, na chombo bado imara, vitu vya kichina hivyo vinaenda sawa miaka mi5 na kusonga mbele, hivyo ukipiga miaka 3 hivi. Inakuwa umepiga milioni 45 na ukiamua kuiuza bajaj unauza bei poa.

Kikubwa komaa kwenye saving, jibane kwenye matumizi yako.. Jipe mwaka utaona mabadiliko.
Kaka kusema hivi ni poa saana ila ukiingia field mambo yanabadilika saana mzee kuna muda mambo yanagoma mpaka unahisi kurogwa😂😂😂
 
Kaka kusema hivi ni poa saana ila ukiingia field mambo yanabadilika saana mzee kuna muda mambo yanagoma mpaka unahisi kurogwa😂😂😂
Ni sahihi mzee, kuna kipindi mambo yanagoma, ila tukubali vijana wengi hatuna nidhamu ya hela, si kwa hela hizi zinazoingia kwa kila siku ama zile za mkupuo, unaingiza leo laki, unataka utumie kwa fujo ukiamini kesho ipo tena sababu chombo kipo, hatimae chombo kinakuja kuchoka na huna hela ya maana, mtu anapiga kazi wiki nzima lakini wiki ijayo ukimuuliza kama ana akiba ya laki 2 anakwambia hana na pesa hajui kaitumiaje tumiaje.
 
Ni sahihi mzee, kuna kipindi mambo yanagoma, ila tukubali vijana wengi hatuna nidhamu ya hela, si kwa hela hizi zinazoingia kwa kila siku ama zile za mkupuo, unaingiza leo laki, unataka utumie kwa fujo ukiamini kesho ipo tena sababu chombo kipo, hatimae chombo kinakuja kuchoka na huna hela ya maana, mtu anapiga kazi wiki nzima lakini wiki ijayo ukimuuliza kama ana akiba ya laki 2 anakwambia hana na pesa hajui kaitumiaje tumiaje.
Safi kabisa moja ya changamoto kwetu
 
Kusema ukweli hizi ndizo tunazosema biashara ya kwenye makaratasi: hapa nitaongea kwa uzoefu baada ya kumaliza chuo nilipata kazi ya mkatana kama miaka mitatu, kisha nikarudi kitaa nilichokifanya ni kupiga driving mwez moja na kupata leseni. Kisha nikanunua bajaji nikaingia road naomba nikwambie haya
Jambo muhimu kabisa ni kwamba ili pesa yako hata ulionunulia boda au bajaji irudi uwe dereva mwenyewe ukiwapa hawa vijana wanaonyoa viduku umelia, maaan kila wakat bosi chombo imeharibika, bosi nmekamatwa na trafik bosi leo hali ni mbaya yaan ukiona tu simu yake ni presha na hili lipo kwa wenye usafiri wte hata mabasi kama kampuni yako ni changa n presha juu ya presha. Sasa kwa uzoefu wangu nilijifunza haya yafuatayo
  1. Ili uweze kufaidika na hii biashara angalau chombo chako kiwe kipya maana yake wew service yako ni kubadili oil na kupiga miguu griss lakini pamoja na hapo kumbuka bajaji mpya ni milioni 8.5 hadi mil 9, sasa hapo waza mpka uje urudishe hizo ml tisa ni lini
  2. Kama una bajaji used au boda used pesa utakuwa unapata saana lakini ukienda kufanya service utaambiwa mara piston za kwenye master zimeisha, mara chain imeisha mara miguu inapata joto ukitoka hapo nusu ya akiba ulioweka imeisha.
  3. Kumbuka kuna changamoto hazikosekani kama sehem ya biashara kuna siku hauna upepo unaweza kulaza 30k tu kuna TRA 100K Kuna latra kuna MATRAFIK kuna kulipia kijiwe. Kumbuka katika pesa unayopata mfano umelaza 80k lazima utoe 20 ya mafuta kwa bajaj mpya
  4. Nimeendesha bajaji dar kiwango cha kulaza faida huwa ni elf hamsini hadi themanini kama kuna mtu anaendesha bodaboda au bajaji analaza laki ake anikosoe na kumbuka bajaj n nyingi kama utitiri na unaondoka kwa foleni kijiweni
  5. Nikaona dar hapalipi nikaenda morogoro bado changamoto ni zile zile na hapo nilikuwa naendesha mwenyewe. Hivyo kila biashara na changamoto yake.
Kwa mchanganuo huu na usawa huu ulivyo mgumu, hii kitu inalipa
Sasa kama unalaza elf 30-50 Kwa siku huoni hapo unawapita mbali sana waajiriwa wengi ambao average income per day ni 15-30
Ninachoona watu hatuna nidhamu ya pesa Kwa kule kuamini kua kesho nitapata kama hii au zaidi
 
Ila uendeshe mwenyewe kama ni konda uwe mwenyewe pili lazima ukubali kugawana na wengine.
Utanunua chombo kwa hela zako mwenyewe lakini lazima faida mgawane na traffic, police,latra, parking, TRA,yono,jiji,nk ambao hawakusaidii kulipa gharama za kukifanya chombo kiwe barabarani.
 
Changamoto, lakini kwa bei uliyonunulia na hela ya kulaza vinaendana au tunasma inalipa.. Hata kama umenunua bajaj milioni 10, ukiweza kulaza wastan wa elfu 50 daily, that means kwa mwezi ni milioni 1 na laki 5, mwaka ni milioni 18. Toa milioni 3 kwa sababu ya dharura, kuna siku ulikosa, service na mengineyo, maana yake kwa mwaka unapiga si chini ya milioni 15, ndanj ya mwaka hela yako ya bajaji isharudi na faida juu, na chombo bado imara, vitu vya kichina hivyo vinaenda sawa miaka mi5 na kusonga mbele, hivyo ukipiga miaka 3 hivi. Inakuwa umepiga milioni 45 na ukiamua kuiuza bajaj unauza bei poa.

Kikubwa komaa kwenye saving, jibane kwenye matumizi yako.. Jipe mwaka utaona mabadiliko.
[emoji23][emoji23][emoji23] mil 45 si ndio...hesabu za makaratasi bhana
 
Back
Top Bottom