Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Ndio yaani usilale kabisakwa hiyo nilale niote ndio furaha yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio yaani usilale kabisakwa hiyo nilale niote ndio furaha yako?
Pole pole .. take care mkuuUmefanya nimepaliwa maji 😃
Mimi hujawai niambia ata ivyo ata siku moja 🙄Pole pole .. take care mkuu
Naamini wewe huna mafunzo yakuambiwa hivo 🤣🤣 Utapumzika kwako 🤣Mimi hujawai niambia ata ivyo ata siku moja 🙄
huna baby wewe unalala peke yako kama kuku!, by the way hata kuku anakushinda!.. tafuta mchumba ulale nae alasivyo utakuwa unaota unakimbizwa hadi nakinyonga!Dah! Kwenye kichwa cha mada ungeandika nyoka ili nisifungue huu uzi.
Leo nitalala kwa mashaka tu.😒
Poa haina shida 😔Naamini wewe huna mafunzo yakuambiwa hivo 🤣🤣 Utapumzika kwako 🤣
Is it?!😂😂😂Mpiga picha alikuwa ni Mwanamke. Maana ni mwenzao
ExactlyIs it?!😂😂😂
🤣🤣 Hili jibu la mtu aliyejaa. Ouk anyway tarajia hiyo anytime, anywhere,Poa haina shida 😔
Sawa mkuu 🤪🤣🤣 Hili jibu la mtu aliyejaa. Ouk anyway tarajia hiyo anytime, anywhere,
Naona anachungulia hela ya kununua Canter 4D33 piruuu from japan 🤣🤣🤣Unaona hii kitu? Unaweza kuwa nusu Km na ukapata picha nzuri kabisa
View attachment 3226316View attachment 3226317
Au sio na wewe nyoka umuogopNaona anachungulia hela ya kununua Canter 4D33 piruuu from japan 🤣🤣🤣
Hapo sawa lakin sio Kwa kuwasogelea😬Unaona hii kitu? Unaweza kuwa nusu Km na ukapata picha nzuri kabisa
View attachment 3226316View attachment 3226317
Halisi kabisa hiyoHii picha ni ya kweli, sio chai hii mods ?
Labda Leejay49, kama hawa wakijani nawaruhusu waende..Au sio na wewe nyoka umuogop
Ni mkoa gan nijihadhar mapema kuukanyagaTushazoea uku unaweza enda choo unakutana na nyoka na ni choo cha ndani kabla ya kulala unakagua mashuka vizuri ndio unalala na unalala na taa inawaka maana wanapo pitia ujui unaziba hapa kesho unaona anapitia pale na umeme wanakatakta usiku ukiacha mlango wazi imekula kwako
Kweli aisee lens ni gharama sanaNaona anachungulia hela ya kununua Canter 4D33 piruuu from japan 🤣🤣🤣
Hatari bro, ni gharama lakini unapata kitu roho inapendaKweli aisee lens ni gharama sana
Ya kutengeneza hiyo.Hii picha ni ya kweli, sio chai hii mods ?