Wana jamii ningepanda kujua maana halisi ya chuma ulete kwani zaidi najua mtu anaye weza kuchukua hasa pesa kwa ki mazingira ndio huita chuma ulete. kuna siku jamaa mmoja alinikuta nanunua bidhaa duka ni a kaja kwangu na kuniomba shilingi Mia moja . nilikuwa na kiasi cha shilingi kadhaa mkononi nikampa mia akaenda pembeni yangu kulikuwa na mama mmoja alikuwa akinitazama kwa jicho la ishara alipoondoka yule jamaa yule mama akasema usinge mpa kwani km angekuwa na shida basi angeomba buku au Mia 5. Hawa watu wa aina hii ni washilikina wanafanya CHUMA ULETE.
sijapata madhara yeyote sasa yapata wiki . Je hili tukio laweza kuwa ni la kishirikina? na lina kaa active kwa muda gani? ...