floow
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 411
- 855
Habar zenu wakuu
Naandika huu Uzi nikiwa na masikitiko makubwa sana . .
Nimefanikiwa kua na kibanda changu cha tigopes maeneo flani hapa dar...
Kabla sijamuweka mtu Wa kufanya huduma kwenye ofisi iyo nimeamua nikae mwenyewe angalau wiki 2 ili niusome upepo na changamoto za pale...
Ninacho kumbana nacho ni mauzauza tuu..kwa upande Wa wateja nashukuru MUNGU mzunguko ni mzur,,jambo linalo nitatiza ni wakati Wa kufunga esabu usiku
Kila ninapopiga esabu za mtaji ninao tumia,lazima nikute hasara...mwanzo nilikaa siku 4 bila kufanya hesabu siku ya 5 nafanya hesabu nikakuta hasara ya 50000 ...nikaamua niwe nafanya hesabu kila siku lakini mambo ni yaleyale ..mpaka sasa Nina siku 12 katika kaz lakini Nina hasara ya tsh 115000 jambo ambalo sikutegemea
Hisia zangu zote zimeenda kwa Chuma ulete. Ndugu zangu namshindaje huyu adui Chuma ulete ? Anako elekea ataniteketeza
Naandika huu Uzi nikiwa na masikitiko makubwa sana . .
Nimefanikiwa kua na kibanda changu cha tigopes maeneo flani hapa dar...
Kabla sijamuweka mtu Wa kufanya huduma kwenye ofisi iyo nimeamua nikae mwenyewe angalau wiki 2 ili niusome upepo na changamoto za pale...
Ninacho kumbana nacho ni mauzauza tuu..kwa upande Wa wateja nashukuru MUNGU mzunguko ni mzur,,jambo linalo nitatiza ni wakati Wa kufunga esabu usiku
Kila ninapopiga esabu za mtaji ninao tumia,lazima nikute hasara...mwanzo nilikaa siku 4 bila kufanya hesabu siku ya 5 nafanya hesabu nikakuta hasara ya 50000 ...nikaamua niwe nafanya hesabu kila siku lakini mambo ni yaleyale ..mpaka sasa Nina siku 12 katika kaz lakini Nina hasara ya tsh 115000 jambo ambalo sikutegemea
Hisia zangu zote zimeenda kwa Chuma ulete. Ndugu zangu namshindaje huyu adui Chuma ulete ? Anako elekea ataniteketeza