stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,884
- 4,479
Habarini??
Nadhani wengi wetu mmekwisha sikia hii habari ya chumaulete hasa kanda hizi za pwani kama tanga na pwani
Hivi majuzi nilikwenda kumtembelea jamaa yangu mmoja anakibanda cha Mpesa, gafla akaja mzee mmoja anataka kuwekewa hela laki tatu kwahiyo akatoa elfu10 thelathini akampa ndugu yangu yule amuwekee hata mimi niliona kuwa zote ni elfu kumikumi akamuingizia laki3
Baada ya hapo sasa ndipo akajakugundua kuwa kaibiwa baada ya kukuta zile hela mahali alipoweka zote ni elfu mojamoja zipo30 kwahiyo jumla yake ni elfu 30.
Ndipo wote tukajiuliza hiki ni kiini macho au ni uchawi?? Hebu tusaidieni wandugu namna ya kujinasua kufanyiwa hivi tena
Nadhani wengi wetu mmekwisha sikia hii habari ya chumaulete hasa kanda hizi za pwani kama tanga na pwani
Hivi majuzi nilikwenda kumtembelea jamaa yangu mmoja anakibanda cha Mpesa, gafla akaja mzee mmoja anataka kuwekewa hela laki tatu kwahiyo akatoa elfu10 thelathini akampa ndugu yangu yule amuwekee hata mimi niliona kuwa zote ni elfu kumikumi akamuingizia laki3
Baada ya hapo sasa ndipo akajakugundua kuwa kaibiwa baada ya kukuta zile hela mahali alipoweka zote ni elfu mojamoja zipo30 kwahiyo jumla yake ni elfu 30.
Ndipo wote tukajiuliza hiki ni kiini macho au ni uchawi?? Hebu tusaidieni wandugu namna ya kujinasua kufanyiwa hivi tena