Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Chumba chako ni chako na mume wako tu. Haipendezi chumba cha wanandoa kuingiwa kiholela na watu ambao washavunja ungo iwe mschana wa kazi, wakwe, mawifi, mashemeji, majirani au yeyote yule.
Chumba chako kikikosa staha na ndoa yako pia itakosa kuheshimiwa. Unapolala na mumeo hapafai kuonekana na watu wengine kwani ni aibu na inaweza kuleta fitna. Tujihadhari!
Hata kama unaishi kwenye chumba kimoja weka pazia itakayotenganisha kitanda chako na sehemu ambayo unaweza kukarubishia wageni.
Chumba chako kikikosa staha na ndoa yako pia itakosa kuheshimiwa. Unapolala na mumeo hapafai kuonekana na watu wengine kwani ni aibu na inaweza kuleta fitna. Tujihadhari!
Hata kama unaishi kwenye chumba kimoja weka pazia itakayotenganisha kitanda chako na sehemu ambayo unaweza kukarubishia wageni.