Dalali Alpha
Member
- Apr 20, 2021
- 89
- 60
- Thread starter
- #21
Ushirikina upo kila mahali hadi Misikitini na Makanisani, Chamsingi Kumtegemea M/MunguHahaha ndio maana wanarogana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushirikina upo kila mahali hadi Misikitini na Makanisani, Chamsingi Kumtegemea M/MunguHahaha ndio maana wanarogana
Kilomita mojaKm ngapi kutoka njia panda mbuyuni
Ok niachie namba yako ya Whatsapp pm nitakucheki tuyajengeKilomita moja
Ok sawaOk niachie namba yako ya Whatsapp pm nitakucheki tuyajenge
Nyingine hii, Karibu Wadau wa JfOk niachie namba yako ya Whatsapp pm nitakucheki tuyajenge
Hii nayo ipo wapi na bei yake ikojeNyingine hii, Karibu Wadau wa Jf View attachment 1799392View attachment 1799393View attachment 1799394View attachment 1799395
Greenish[emoji122][emoji122]Nyingine hii, Karibu Wadau wa Jf View attachment 1799392View attachment 1799393View attachment 1799394View attachment 1799395
Mbona chembamba sana. Hapo ukiweka godoro tuu kwisha.Mahali: Mbezi Beach Makonde,
Kodi ya Mwezi: Tshs 120,000
Malipo ya Miezi: 3 au 6
Ipo karibu sana na kituo cha daladala, dakika moja upo kituoni.
Maji ya bomba/dawasa masaa 24, Uzio na geti, egesho la usafiri lipo Usalama wa kutosha.
Maelezo zaidi: 0716442950
View attachment 1798990View attachment 1798991View attachment 1798992
Kisa jina la Mbezi Beach mkuu.Hii takataka ndio 120?kila la kheri mkuu dalali!
Kashanusa harufu ya hela akili ikarukaUsiwe na haraka weka picha vizuri moja zionekane
Makusdi hayo mkuu umeacha nimecheka sana daahKashanusa harufu ya hela akili ikaruka
[emoji2] kweli mkuu, kawahi fasta Ili mwenzie asije akagundua akaja fasta.Makusdi hayo mkuu umeacha nimecheka sana daah
Hii inauzwa ama inapangishwa!?Nyingine hii, Karibu Wadau wa Jf View attachment 1799392View attachment 1799393View attachment 1799394View attachment 1799395
Ipo, Mbezibeach MakondeHii nayo ipo wapi na bei yake ikoje
Picha tu iyo Mkuu, Chumba kikubwa sanaMbona chembamba sana. Hapo ukiweka godoro tuu kwisha.
Inapangishwa ipo Mbezibeach, Monthly rent tshs 2Milioni.Hii inauzwa ama inapangishwa!?
Sidhani kama hata umeshawahi kununua tofali mojaHii takataka ndio 120?kila la kheri mkuu dalali!
Ukweli mchungu,Umekereka kwa sababu ya Ukweli!sina tofali wala nondo mkuu ila hiyo takataka haiwezi kuwa bei hiyo !Sidhani kama hata umeshawahi kununua tofali moja
Mi sio muuzaji lakini kuita nyumba ya mtu takataka ni kosa kubwa sana...Nakuombea uanze ujenzi ndio utaelewaUkweli mchungu,Umekereka kwa sababu ya Ukweli!sina tofali wala nondo mkuu ila hiyo takataka haiwezi kuwa bei hiyo !