Nayeye Kama yupo serious, aseme anataka mbezibeach sehemu gani ili nijue namsaidiaje..
Naitaka hii uliyopost ila niambie kwanza iko Mbezi beach sehemu ganiWewe Unataka MbeziBeach maeneo gani?
Zamani ni lini?Toka zamani mbona, aliyekuadisia alikudanganyaga
Ata wewe ujuhi, "hadithia" pia sio kiswahili fasaha ... "Simulia"Zamani ni lini?
Mimi nimejenga nyumba Mbezi Beach wakati Tangi Bovu lipo bado.
Tatizo hujui tofauti ya "hadithia" na "adisia"
Wanye Nyumba Mbezibeach wanajulikana, sema kama ulipewa site ulindeZamani ni lini?
Mimi nimejenga nyumba Mbezi Beach wakati Tangi Bovu lipo bado.
Tatizo hujui tofauti ya "hadithia" na "adisia"
Karibu ofisini kwangu, taarifa zote utazipata. Ofisi yangu ipo Mbezibeach kwakomba karibu na ukumbi wa Primerose au tupigie kwenye namba 0686648630Dakika tatu hadi kituo cha daladala kipi ndugu???
Wewe ni Dalali, nakujua
Wanye Nyumba Mbezibeach wanajulikana, sema kama ulipewa site ulinde
Wewe Dalali ndiye unanituhumu mimi kupewa site nilinde?Wanye Nyumba Mbezibeach wanajulikana, sema kama ulipewa site ulinde
Wenye Akili timamu wanaelewa hizi changamotoUmeshaharibu soko lako JF
Ata wewe ujuhi, "hadithia" pia sio kiswahili fasaha ... "Simulia"
Anataka Kuzunguka Mbuyu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] madalali munajuana kumbe, anataka achukue kazi
Wenye Akili timamu wanaelewa hizi changamoto
Ni kweli mkuu hili suala linahitaji busara bande zote kwangu na kwake, yeye pia hakutumia busara..Changamoto zipo ili zitatuliwe, lakini inatakiwa itumike busara na maarifa kwenye kuzitatua.
Wewe haumfaham Kiranga , mambo ya kwamba ana uwezo au hana uwezo wa kujenga Mbezi Beach ungeachana nayo ukajikita kwenye biashara yako, kwa sababu tunauhakika wewe ni Dalali sasa kwa huo mwendo wa kuvagaa watu usiowajua ndio nikakwambia umeshaharibu soko hapa JF.
Unatafuta Sifa za Kijinga humu jf!!Wewe hujui hata kuandika hujui.
You are a bottom feeder stinking twat parasite who live off of other people's assets.
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hahahahaa umemtusi vikubwa sana...Wewe hujui hata kuandika hujui.
You are a bottom feeder stinking twat parasite who live off of other people's assets.