House4Rent Chumba master 100,000/= kinapangishwa Ubungo Riverside

Mwenye nyumba anapangisha elfu 60 kwa mwezi dalali anataka apate elfu 40 kila mwezi
 
Dalali si huwa anachukua mwezi mmoja anapita kushoto mkuu? au wapo ambao wamegeuka kuwa na share na wenye nyumba?
Mwenye nyumba anapangisha elfu 60 kwa mwezi dalali anataka apate elfu 40 kila mwezi
ala
 
Basi mwenye nyumba anakuwa sio muungwana na anaondoa uaminifu
Ukienda kichwa kichwa dalali nae anakuwa anapata share yake kila mwezi.
Sasa kama hilo geto hapo ni la kupangisha laki
 
Habari JF!
Apartment inapangishwa 500,000/= Ubungo Riverside
#3masterbedroom
#Seating room
#Dinning
#2Public toilet ndani na nje
#Electric fence
#Luku yako
#water supply 24/7
 
hivyo Vyoo kiongozi , maji hakuna?
 
Hacheni wivu wengine unakuta mnalala kwa shemeji,harafu unakoment uwaki mijengo ya watu hii NYUMBA Sinza ,Mikocheni 200k na watu wanaishi nayo.

Wa Mbagala ,Kibaha,nje nje ya mji ndio wanashangaa wanaona laki kubwa
Utawaokota maboya wenzako.
 
acha ubabaishaji kubali tu kuwa nyumba unayodalalia haina usalama, mshauri boss wako afanyie kazi mapungufu uliyoshauriwa kisha njoo tangaza tena , haiwezekani ukaweka electric fence wakati milango na madirisha ya nyumba umeweka mbao tu
Jamaa kachanganga mafile iyo electric fence ni ya nyumba nyingine kabisa angalia huku kuna sehemu nime tumia JF VAR..
 
Ukienda kichwa kichwa dalali nae anakuwa anapata share yake kila mwezi.
Sasa kama hilo geto hapo ni la kupangisha laki
ilo la nondo na nyavu ni 40 kabisa sio ata 60 maana fence anayo dai inaizunguka nyumba iyo sio kabisa ni ya nyumba nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…