Chumba na sebule ni self catering dormitories mijini

Chumba na sebule ni self catering dormitories mijini

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Mtu anaomba kiwanja cha makazi, wakati huo ni karani wa Masijala, anajitahidi kucheza upatu akiwa mwajiriwa na anafanikiwa kununua kiwanja Boko, Salasala au Bunju miaka hiyooo.

Kuongeza kipato zaidi ya pension kwakua sasa hivi ni mstaafu anaanuma kujenga vyumba nyuma na pembeni ya nyumba yake.

Zamani wastaaafu walifuga kuku sikuhizi wameamua kufuga binadamu wenzao kwa mtindo wa kujenga chumba na sebule.

Wadada wa mjini hawapendi kushirikiana vyoo na wapangaji wengine. Hivyo ukitaka kupata mteja haraka weka choo kati ya chumba na sebule.

Mgao wa maji ni mara moja kwa wiki, land lady ana Sim Tank la litre 5,000. Inabidi ulale na majaba ya maji ili kuweka ustaarabu ndani kwako.

Kaya moja inaweza kuwa na watu 10+ ukiacha familia ya Land Lady na wapangaji wengine ni couples.

Hizi ni sawa na self catering dormitories mjini.
 
Mtu anaomba kiwanja cha makazi, wakati huo ni karani wa Masijala, anajitahidi kucheza upatu akiwa mwajiriwa na anafanikiwa kununua kiwanja Boko, Salasala au Bunju miaka hiyooo.

Kuongeza kipato zaidi ya pension kwakua sasa hivi ni mstaafu anaanuma kujenga vyumba nyuma na pembeni ya nyumba yake.

Zamani wastaaafu walifuga kuku sikuhizi wameamua kufuga binadamu wenzao kwa mtindo wa kujenga chumba na sebule.

Wadada wa mjini hawapendi kushirikiana vyoo na wapangaji wengine. Hivyo ukitaka kupata mteja haraka weka choo kati ya chumba na sebule.

Mgao wa maji ni mara moja kwa wiki, land lady ana Sim Tank la litre 5,000. Inabidi ulale na majaba ya maji ili kuweka ustaarabu ndani kwako.

Kaya moja inaweza kuwa na watu 10+ ukiacha familia ya Land Lady na wapangaji wengine ni couples.

Hizi ni sawa na self catering dormitories mjini.
Umewaza nini aiseeee🥱🥱🥱
 
Chumba sebule choo ndani, kuna sehemu 120k mpaka 250k kutegemea sehemu na sehemu.
Chumba choo ndani kuna sehemu 50k,(nadra sana) 70k mpaka 150 kutegemea na sehemu.

Ukiwa sehemu nzuri biashara ya kupangisha ni tamu sana, haina stress.
Una frem zako 5, kila moja ni 200k.
Vyumba master 8 kwa 100k, ama chumba sebule choo vi 4, kwa 200k.

Inavaa msuli tu na kucheza drafti, safari za hapa na pale hazikosekani.
 
Chumba sebule choo ndani, kuna sehemu 120k mpaka 250k kutegemea sehemu na sehemu.
Chumba choo ndani kuna sehemu 50k,(nadra sana) 70k mpaka 150 kutegemea na sehemu.

Ukiwa sehemu nzuri biashara ya kupangisha ni tamu sana, haina stress.
Una frem zako 5, kila moja ni 200k.
Vyumba master 8 kwa 100k, ama chumba sebule choo vi 4, kwa 200k.

Inavaa msuli tu na kucheza drafti, safari za hapa na pale hazikosekani.
Mstaafu akiwa anaishi kwake na halipi kodi, milioni 3 kwa mwezi inakutosha kuishi maisha ya kawaida. Una IST hutakosa hela ya mafuta.
 
Chumba sebule choo ndani, kuna sehemu 120k mpaka 250k kutegemea sehemu na sehemu.
Chumba choo ndani kuna sehemu 50k,(nadra sana) 70k mpaka 150 kutegemea na sehemu.

Ukiwa sehemu nzuri biashara ya kupangisha ni tamu sana, haina stress.
Una frem zako 5, kila moja ni 200k.
Vyumba master 8 kwa 100k, ama chumba sebule choo vi 4, kwa 200k.

Inavaa msuli tu na kucheza drafti, safari za hapa na pale hazikosekani.
Nina jamaa yangu, bado mdogo tu kwa standard zetu, ila ana apartments zake yaani hadi wivu unamuonea. Chumba-sebule, jiko na choo. Kaweka maji kwa kila mtu, luku, dish unakuja na king'amuzi chako na kupachika, heater, kijiko kina cabinets anapangisha 250,000 na watu wanazing'ang'ania. Zipo saba, bado single rooms kama tano hivi....kifupi jamaa stress za maisha kuhusu hela ya kusomesha madogo hana.
 
Ningepiga picha wangenipiga mawe
Ukipata maisha usijisahau ukasahau kuwa hata ww ulianzia huko au chini ya huko kabisa.....Maisha yana safari ndefu usiwabeze watu kiasi hicho kisa ww umebarikiwa, usijione kuwa ni kwa juhudi zako...FAVOR.
 
Back
Top Bottom