Chumba na sebule ni self catering dormitories mijini

Chumba na sebule ni self catering dormitories mijini

Nina jamaa yangu, bado mdogo tu kwa standard zetu, ila ana apartments zake yaani hadi wivu unamuonea. Chumba-sebule, jiko na choo. Kaweka maji kwa kila mtu, luku, dish unakuja na king'amuzi chako na kupachika, heater, kijiko kina cabinets anapangisha 250,000 na watu wanazing'ang'ania. Zipo saba, bado single rooms kama tano hivi....kifupi jamaa stress za maisha kuhusu hela ya kusomesha madogo hana.
Life iş about planning, huyu dogo ali sacrifice vingi katika ujana wake. Kuhonga, kujirusha na vingine. Sasa hivi analia kivulini.
 
Life iş about planning, huyu dogo ali sacrifice vingi katika ujana wake. Kuhonga, kujirusha na vingine. Sasa hivi analia kivulini.
Yeah, planning ni muhimu. Japo yeye alipata zali la mentali, story yake ndefu kidogo...alikula sana bata baada ya zali, ila wakaja watu kwenye maisha yake wakamkumbusha kuwa kuna kesho, akashtuka na kuanza kujiwekeza.
 
"Zamani wastaaafu walifuga kuku sikuhizi wameamua kufuga binadamu wenzao kwa mtindo wa kujenga chumba na sebule."
Hapo ana uhakika mwisho wa mwezi ana hela yake kuliko kufuga kuku ghafla wamevamiwa na magonjwa na unakufa mapema na hizo stress.
 
Nina jamaa yangu, bado mdogo tu kwa standard zetu, ila ana apartments zake yaani hadi wivu unamuonea. Chumba-sebule, jiko na choo. Kaweka maji kwa kila mtu, luku, dish unakuja na king'amuzi chako na kupachika, heater, kijiko kina cabinets anapangisha 250,000 na watu wanazing'ang'ania. Zipo saba, bado single rooms kama tano hivi....kifupi jamaa stress za maisha kuhusu hela ya kusomesha madogo hana.
Moja kati ya biashara isiyo na stress, hela inarudi na bado utakula sana, na kadri muda unavyokwenda kuna asilimia kubwa saana, thamani kupanda.
 
Yeah, planning ni muhimu. Japo yeye alipata zali la mentali, story yake ndefu kidogo...alikula sana bata baada ya zali, ila wakaja watu kwenye maisha yake wakamkumbusha kuwa kuna kesho, akashtuka na kuanza kujiwekeza.
Sasa hizo angekuwa nazo 5-10 mjini hapa ni kitonga tu.
 
Mstaafu akiwa anaishi kwake na halipi kodi, milioni 3 kwa mwezi inakutosha kuishi maisha ya kawaida. Una IST hutakosa hela ya mafuta.
Kibongo bongo, milioni 3 ni nyingi sana kuishi maisha ya mtanzania wa kawaida.

Milioni 3, ni sawa na kutumia laki 1 kila siku kwa mwezi mzima, sasa jiulize matumizi ya laki daily, kwa kula na mafuta ya usafiri plus emergency ndogo ndogo, hunywi pombe wala nini.
Hela hiyo inakuruhusu kufanya miradi midogo midogo chungu nzima.
 
Dunia nzima zipo apartment za categories mbali mbali, single, double and multiple rooms
 
Ukipata maisha usijisahau ukasahau kuwa hata ww ulianzia huko au chini ya huko kabisa.....Maisha yana safari ndefu usiwabeze watu kiasi hicho kisa ww umebarikiwa, usijione kuwa ni kwa juhudi zako...FAVOR.
Hapana sijabeza nimeongea ukweli wa hali halisi
 
Mtu anaomba kiwanja cha makazi, wakati huo ni karani wa Masijala, anajitahidi kucheza upatu akiwa mwajiriwa na anafanikiwa kununua kiwanja Boko, Salasala au Bunju miaka hiyooo.

Kuongeza kipato zaidi ya pension kwakua sasa hivi ni mstaafu anaanuma kujenga vyumba nyuma na pembeni ya nyumba yake.

Zamani wastaaafu walifuga kuku sikuhizi wameamua kufuga binadamu wenzao kwa mtindo wa kujenga chumba na sebule.

Wadada wa mjini hawapendi kushirikiana vyoo na wapangaji wengine. Hivyo ukitaka kupata mteja haraka weka choo kati ya chumba na sebule.

Mgao wa maji ni mara moja kwa wiki, land lady ana Sim Tank la litre 5,000. Inabidi ulale na majaba ya maji ili kuweka ustaarabu ndani kwako.

Kaya moja inaweza kuwa na watu 10+ ukiacha familia ya Land Lady na wapangaji wengine ni couples.

Hizi ni sawa na self catering dormitories mjini.
Nimepata somo kubwa sana hapa kuhusu kuweka choo kati ya room na sebule meaning kwamba hata mtu akijiwa na mgeni sebuleni kwake ataweza tumia toilet bila mgeni kuingia chumbani

Lakini pia endapo utapata mgeni wa dharura pia anaweza lala sebuleni na akaweza kutumia choo bila kuingia chumbani kwa mhusika.


Asante sana 🙏
 
Hapana sijabeza nimeongea ukweli wa hali halisi
Honestly moja vitu ambavyo na wish / plan kufanya ni kujenga hizi nyumba simple kwa ajili ya kupangisha hapo mjini.
Mfano: two rooms+ sebule and kitchen
Single room with kitchen + store + toilet
Chumba sebule+ toilet+ kitchen

Natafuta uwanja wa square mita kama 800 to 1000 nijiwekeze hapo ili niwe nakula kodi tu basiii
Naamini nikiweka mazingira ya kisasa nitakuwa nimejihakikishia soko la wapangaji
 
Honestly moja vitu ambavyo na wish / plan kufanya ni kujenga hizi nyumba simple kwa ajili ya kupangisha hapo mjini.
Mfano: two rooms+ sebule and kitchen
Single room with kitchen + store + toilet
Chumba sebule+ toilet+ kitchen

Natafuta uwanja wa square mita kama 800 to 1000 nijiwekeze hapo ili niwe nakula kodi tu basiii
Naamini nikiweka mazingira ya kisasa nitakuwa nimejihakikishia soko la wapangaji
Kuna soko kubwa la makazi kwakua watu wanaongezeka mijini na makazi ya watu mijini kwa kiasi kikubwa limekua swala la watu binafsi.

Wa Tanzania wengi kwa kipato chao wanamudu kodi kati ya 50,000- 500,000
 
Back
Top Bottom