Chunga kauli mtandaoni

Unataka wrote tuseme viva pombe?
 
Wanaichukia mitandao lkn hapo hapo wanapitisha matangazo yao kwenye mitandao

Lukwafya
 
Ukisema umelawiti ni kosa kisheria! Utasema umelawiti hakuna mlalamikaji ila ikitokea wanaconnect dots utajikuta upo hatiani..!!!
Twende taratibu, ni kosa chini ya sheria ipi, namba ngapi ya mwaka gani na kifungu kipi? Wengine pia wanataka kujifunza. Hizo dots wanaziconnect vipi?
 
Kumtukana mtu "popoma" je adhabu yake hii ikoje? maana kuna mtu humu anajiita antibayotiki amezoea sana! ama hili halijatoholewa kuwa miongoni mwa matusi!?
 
Kwani si tunatumia majina feki na tuna Id nyingi hapa kulingana na matumizi
1.kuzungumzia siasa na mitusimitusi
2. Kuchangia hoja zinazohusiama na kazi unayoifanya
3. Kuombea papuchi kwa masingle mama & mashugamummy ya humu jf.
4.Kutafutia wachumba humu jf
 
Hiyo haikupi guarantee ya kutokuwa traced down ukamatwe muhimu angalia na kauli.
 
Kumtukana mtu "popoma" je adhabu yake hii ikoje? maana kuna mtu humu anajiita antibayotiki amezoea sana! ama hili halijatoholewa kuwa miongoni mwa matusi!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…