Chunga sana hotel za kichina

Chunga sana hotel za kichina

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
WANATAYARISHA PANYA KUONEKANA KAMA NI KUKU KABISA, HATA KUKATAKATA, WANAKATA MFANO WA KUKU,

KUCHOMA, KUTOA NYWELE



WANAOSHWA VIZURI



WANAKATWA MFANO WA VIPANDE VYA KUKU



WANATIWA MADAWA VIZURI SANA



WANAKANGWA VIZURI KABISA


TAYARI KWA KULA ( KAMA KUKU KABISA)

 
umeniharibia sunday yangu, mkuu! Aaaargh!
 
Kama inapita shingoni wacha wale bana!
Kwanza Mwinyi alisema "Kula Panya Ruksa!
 
Hiyo rangi yake inaonyesha ni tamu mno,kwani mkuu kuna madhara mwilini endapo utakula au sababu wewe unawaona sana getho,fanya usafi wa getho uwapoteze,tawatamani
 
Panya watamu nyie!Mbona huku majuu panya tunakula tu?Wabongo wenzangu mnaona kinyaa.
 
hahah mbona kwetu tunakula panya hatufi? Wanaotoka mtwara mnanisupport kwa hili labda mniruke.
 
wachina cjui ni wa2 wa aina gani khaaa
 
Back
Top Bottom