Chungu na tamu ya wafuasi wa Vyama vya Upinzani Tanzania

Chungu na tamu ya wafuasi wa Vyama vya Upinzani Tanzania

Mr-Njombe

Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
64
Reaction score
122
Salaamu wanaJF,

Ni matumaini yangu mu wazima, naomba kuainisha mtazamo wangu kuhusu wafuasi na wanachama wa vyama vya upinzani nchini kama ifuatavyo.

TAMU

Asilimia kubwa ya wafuasi wa vyama vya upinzani tanzania wamekua mstari wa mbele kwenye kukemea maovu na kuishinikiza serikali kutengua na kubadili baadhi ya maamuzi ambayo wanadhani kua si sahihi yakitekelezwa kwenye jamii.

Pia kwa wafuasi waliobahatika kua viongozi sehemu tofauti tofauti pia wameleta chachu hasa kwa wale waliokua bungeni kwa kuweza kuhoji bila kupepesa macho baadhi ya miswaada ya sheria, maamuzi ya serikali, utekelezwaji wa sera mbali mbali, ukiukwaji wa katiba n.k

CHUNGU
Hapa ni kwamba wafuasi wengi wamekua wana mwamko sana kwenye mitandao ya kijamii kwa asilimia kubwa kuliko kushiriki moja kwa moja kwenye shughuli za kichama katika ngazi zote . Na hapa inaenda mbali mpaka mikutano ili iweze kua na watu wa kutosha ni lazima iambatishe viongozi waandamizi wa kitaifa, na hivyo ajenda mbali mbali kutegemea mitando ya kijamii kwa sehemu kubwa.

Na kwa kumalizia wengi wamekata tamaa kuanzia kugombea nafasi mbali mbali za uongozi na kususia kujiandikisha katika daftari la kupiga kura ama kwa waliojiandikisha kutojitokeza kuchagua viongozi katika chaguzi za ngazi zote. licha ya uwepo wa malalamiko ya utendaji wa tume laikini ushiriki pia ni duni.

Hitimisho

Uhai na ustawi wa vyama unategemea ushiriki kikamilifu wa wafuasi na wanachama katika nyanja zote ikiwemo katika mikutano, kugombea na kuchagua viongozi ambao wanadhani kwa sera na maono waliyonayo yataleta maendeleo katika jamii.

Naomba kuwasilisha.
 
Siasa inauwanda mpana leo nimetoa mtizamo kuhusu upinzani lakin kesho naweza nikajikita kwa chama tawala hivyo sioni kama kuna tatizo katika hili Muungwana
Ukisikia Mbondei amekwambia huna Dodose,huna mbwai , chukua chako ondoka

Ukiamua zungumzia siasa ,ccm / upinzani lazima linganisha mapungufu na bazuri kwa pande zote mbili , vinginevyo andiko lako ni batili, huna dodose
 
Salaamu wanaJF,

Ni matumaini yangu mu wazima, naomba kuainisha mtazamo wangu kuhusu wafuasi na wanachama wa vyama vya upinzani nchini kama ifuatavyo.

TAMU
Asilimia kubwa ya wafuasi wa vyama vya upinzani tanzania wamekua mstari wa mbele kwenye kukemea maovu na kuishinikiza serikali kutengua na kubadili baadhi ya maamuzi ambayo wanadhani kua si sahihi yakitekelezwa kwenye jamii.

Pia kwa wafuasi waliobahatika kua viongozi sehemu tofauti tofauti pia wameleta chachu hasa kwa wale waliokua bungeni kwa kuweza kuhoji bila kupepesa macho baadhi ya miswaada ya sheria, maamuzi ya serikali, utekelezwaji wa sera mbali mbali, ukiukwaji wa katiba n.k

CHUNGU
Hapa ni kwamba wafuasi wengi wamekua wana mwamko sana kwenye mitandao ya kijamii kwa asilimia kubwa kuliko kushiriki moja kwa moja kwenye shughuli za kichama katika ngazi zote . Na hapa inaenda mbali mpaka mikutano ili iweze kua na watu wa kutosha ni lazima iambatishe viongozi waandamizi wa kitaifa, na hivyo ajenda mbali mbali kutegemea mitando ya kijamii kwa sehemu kubwa.

Na kwa kumalizia wengi wamekata tamaa kuanzia kugombea nafasi mbali mbali za uongozi na kususia kujiandikisha katika daftari la kupiga kura ama kwa waliojiandikisha kutojitokeza kuchagua viongozi katika chaguzi za ngazi zote. licha ya uwepo wa malalamiko ya utendaji wa tume laikini ushiriki pia ni duni.

Hitimisho
Uhai na ustawi wa vyama unategemea ushiriki kikamilifu wa wafuasi na wanachama katika nyanja zote ikiwemo katika mikutano, kugombea na kuchagua viongozi ambao wanadhani kwa sera na maono waliyonayo yataleta maendeleo katika jamii.

Naomba kuwasilisha.
actually,
upinzani nchini umejikita zaidi katika kufyumu na kupeana moyo tu mitandaoni pekee,

field ambako ndio kuna wananchi wengi halisi, watu hawana habari kabisa na kinachoendelea mitandaoni, matokeo yake ni kuumbuka tu kwenye chaguzi ...

Jambo lingine la ajabu zaidi, concentration ya upinzani kwenye nafasi za uongozi nchini huwa ni kwenye urais pekee, nafasi zingine sijui huwa wanategemea ushirikina au miujiza, huwa hawajipangi wala kujizatiti ipasavyo 🐒

vinginevyo bado iko nafasi ya kujirekebisa na kujisahihisha na kufanya vizuri zaidi 🐒

 
Salaamu wanaJF,

Ni matumaini yangu mu wazima, naomba kuainisha mtazamo wangu kuhusu wafuasi na wanachama wa vyama vya upinzani nchini kama ifuatavyo.

TAMU
Asilimia kubwa ya wafuasi wa vyama vya upinzani tanzania wamekua mstari wa mbele kwenye kukemea maovu na kuishinikiza serikali kutengua na kubadili baadhi ya maamuzi ambayo wanadhani kua si sahihi yakitekelezwa kwenye jamii.

Pia kwa wafuasi waliobahatika kua viongozi sehemu tofauti tofauti pia wameleta chachu hasa kwa wale waliokua bungeni kwa kuweza kuhoji bila kupepesa macho baadhi ya miswaada ya sheria, maamuzi ya serikali, utekelezwaji wa sera mbali mbali, ukiukwaji wa katiba n.k

CHUNGU
Hapa ni kwamba wafuasi wengi wamekua wana mwamko sana kwenye mitandao ya kijamii kwa asilimia kubwa kuliko kushiriki moja kwa moja kwenye shughuli za kichama katika ngazi zote . Na hapa inaenda mbali mpaka mikutano ili iweze kua na watu wa kutosha ni lazima iambatishe viongozi waandamizi wa kitaifa, na hivyo ajenda mbali mbali kutegemea mitando ya kijamii kwa sehemu kubwa.

Na kwa kumalizia wengi wamekata tamaa kuanzia kugombea nafasi mbali mbali za uongozi na kususia kujiandikisha katika daftari la kupiga kura ama kwa waliojiandikisha kutojitokeza kuchagua viongozi katika chaguzi za ngazi zote. licha ya uwepo wa malalamiko ya utendaji wa tume laikini ushiriki pia ni duni.

Hitimisho
Uhai na ustawi wa vyama unategemea ushiriki kikamilifu wa wafuasi na wanachama katika nyanja zote ikiwemo katika mikutano, kugombea na kuchagua viongozi ambao wanadhani kwa sera na maono waliyonayo yataleta maendeleo katika jamii.

Naomba kuwasilisha.
Kwa Ccm hii ya wajanja wajanja hata watanzania wote pamoja na jirani zetu wa ukanda wa Afika Mashariki wapige kura kusupport upinzani bado ccm watajitangazia tu ushindi. Sanduku la kura ni formality tu
 
Salaamu wanaJF,

Ni matumaini yangu mu wazima, naomba kuainisha mtazamo wangu kuhusu wafuasi na wanachama wa vyama vya upinzani nchini kama ifuatavyo.

TAMU
Asilimia kubwa ya wafuasi wa vyama vya upinzani tanzania wamekua mstari wa mbele kwenye kukemea maovu na kuishinikiza serikali kutengua na kubadili baadhi ya maamuzi ambayo wanadhani kua si sahihi yakitekelezwa kwenye jamii.

Pia kwa wafuasi waliobahatika kua viongozi sehemu tofauti tofauti pia wameleta chachu hasa kwa wale waliokua bungeni kwa kuweza kuhoji bila kupepesa macho baadhi ya miswaada ya sheria, maamuzi ya serikali, utekelezwaji wa sera mbali mbali, ukiukwaji wa katiba n.k

CHUNGU
Hapa ni kwamba wafuasi wengi wamekua wana mwamko sana kwenye mitandao ya kijamii kwa asilimia kubwa kuliko kushiriki moja kwa moja kwenye shughuli za kichama katika ngazi zote . Na hapa inaenda mbali mpaka mikutano ili iweze kua na watu wa kutosha ni lazima iambatishe viongozi waandamizi wa kitaifa, na hivyo ajenda mbali mbali kutegemea mitando ya kijamii kwa sehemu kubwa.

Na kwa kumalizia wengi wamekata tamaa kuanzia kugombea nafasi mbali mbali za uongozi na kususia kujiandikisha katika daftari la kupiga kura ama kwa waliojiandikisha kutojitokeza kuchagua viongozi katika chaguzi za ngazi zote. licha ya uwepo wa malalamiko ya utendaji wa tume laikini ushiriki pia ni duni.

Hitimisho
Uhai na ustawi wa vyama unategemea ushiriki kikamilifu wa wafuasi na wanachama katika nyanja zote ikiwemo katika mikutano, kugombea na kuchagua viongozi ambao wanadhani kwa sera na maono waliyonayo yataleta maendeleo katika jamii.

Naomba kuwasilisha.
Ingekuwa box la kura linaheshimiwa ndio ungeona hao wafuasi wa upinzani wanajitokeza kujiandikisha kupiga kura. Lakini hiyo ya wahesabu kura, na kura za maporini mtawaona wasiojitambua kwenye hizo chaguzi. Ni wendawazimu kusema viongozi walioko madarakani wako kwasababu ya sera, wakati ni dhahiri tunashuhudia chaguzi za kishenzi.
 
actually,
upinzani nchini umejikita zaidi katika kufyumu na kupeana moyo tu mitandaoni pekee,

field ambako ndio kuna wananchi wengi halisi, watu hawana habari kabisa na kinachoendelea mitandaoni, matokeo yake ni kuumbuka tu kwenye chaguzi ...

Jambo lingine la ajabu zaidi, concentration ya upinzani kwenye nafasi za uongozi nchini huwa ni kwenye urais pekee, nafasi zingine sijui huwa wanategemea ushirikina au miujiza, huwa hawajipangi wala kujizatiti ipasavyo 🐒

vinginevyo bado iko nafasi ya kujirekebisa na kujisahihisha na kufanya vizuri zaidi 🐒

Huu ujinga kawaahadae wasiojua upuuzi unaoendelea kwenye chaguzi zote hapa nchini. Ni mtu mjinga tu, au anayefaidika na chaguzi hizi za kishenzi ndio atapoteza muda wake kushiriki kwenye huo upuuzi uitwao uchaguzi.

Tunajua ushenzi wote unaoendelea kwenye chaguzi zetu, hivyo itakuwa ngumu kuendelea kuona misururu ya wapiga kura, wakati tunajua kinachoendelea humo kwenye box la kura ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Ni aidha machafuko, au mapinduzi ya kijeshi, lakini hakuna mjinga tena wa kuendelea kushiriki huo utoto.
 
Huu ujinga kawaahadae wasiojua upuuzi unaoendelea kwenye chaguzi zote hapa nchini. Ni mtu mjinga tu, au anayefaidika na chaguzi hizi za kishenzi ndio atapoteza muda wake kushiriki kwenye huo upuuzi uitwao uchaguzi.

Tunajua ushenzi wote unaoendelea kwenye chaguzi zetu, hivyo itakuwa ngumu kuendelea kuona misururu ya wapiga kura, wakati tunajua kinachoendelea humo kwenye box la kura ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Ni aidha machafuko, au mapinduzi ya kijeshi, lakini hakuna mjinga tena wa kuendelea kushiriki huo utoto.
Yes,
nilisahau jambo lingine umenikumbusha japo mtoa hoja pia amezungumza vizuri kwa ufupi...

_Mihemko, ghadhabu na kukata tamaa. Janga hili ni setbacks na ni uzembe mkubwa unaendelezwa na upinzani na sasa hivi imekua ndio utambulisho wao rasmi...

wananchi wameacha kabisa kuwafuatilia wala kuwaamini waupinzani nchini kwasabb ya hulka hii ambayo imepelekea pia waupinzani kuonekana ni waporomosha matusi wasio na uwezo wa uongozi wala hoja yoyote ya maana 🐒

uongozi ni jalala gentleman achana na kiburi na uzembe 🐒
 
Yes,
nilisahau jambo lingine umenikumbusha japo mtoa hoja pia amezungumza vizuri kwa ufupi...

_Mihemko, ghadhabu na kukata tamaa. Janga hili ni setbacks na ni uzembe mkubwa unaendelezwa na upinzani na sasa hivi imekua ndio utambulisho wao rasmi...

wananchi wameacha kabisa kuwafuatilia wala kuwaamini waupinzani nchini kwasabb ya hulka hii ambayo imepelekea pia waupinzani kuonekana ni waporomosha matusi wasio na uwezo wa uongozi wala hoja yoyote ya maana 🐒

uongozi ni jalala gentleman achana na kiburi na uzembe 🐒
Kama wananchi wanawaelewa, subiri uone idadi ya wapiga kura itakavyokuwa ndogo. Ama mwambie mtendaji wa mtaa wako aitishe kikao kisha uone idadi ya watakaohudhuria huo mkutano wake, halafu uje ulete mrejesho.
 
Yes,
nilisahau jambo lingine umenikumbusha japo mtoa hoja pia amezungumza vizuri kwa ufupi...

_Mihemko, ghadhabu na kukata tamaa. Janga hili ni setbacks na ni uzembe mkubwa unaendelezwa na upinzani na sasa hivi imekua ndio utambulisho wao rasmi...

wananchi wameacha kabisa kuwafuatilia wala kuwaamini waupinzani nchini kwasabb ya hulka hii ambayo imepelekea pia waupinzani kuonekana ni waporomosha matusi wasio na uwezo wa uongozi wala hoja yoyote ya maana 🐒

uongozi ni jalala gentleman achana na kiburi na uzembe 🐒
Kama wananchi wanawaelewa, subiri uone idadi ya wapiga kura itakavyokuwa ndogo. Ama mwambie mtendaji wa mtaa wako aitishe kikao kisha uone idadi ya watakaohudhuria huo mkutano wake, kisha uje ulete mrejesho.
 
Kama wananchi wanawaelewa, subiri uone idadi ya wapiga kura itakavyokuwa ndogo. Ama mwambie mtendaji wa mtaa wako aitishe kikao kisha uone idadi ya watakaohudhuria huo mkutano wake, kisha uje ulete mrejesho.
Sasa kama watu hawashiriki katika mikutano ya kujadili mstakabali wa maendeleo yao . Huoni sasa kwamba kuna haja ya kuikosoa jamii yenye tabia hii! Muungwana
 
Sasa kama watu hawashiriki katika mikutano ya kujadili mstakabali wa maendeleo yao . Huoni sasa kwamba kuna haja ya kuikosoa jamii yenye tabia hii! Muungwana
Kwa taarifa yako hata ukitoa maoni, bado utekelezaji unafuata utashi wa viongozi, maana huko ndio kuna 10% zao. Na hata mkijitokeza kupiga kura, wanafurahi kuona watu wengi ili wakipora uchaguzi wapate uhalali kuwa walichaguliwa na watu wengi. Hivyo ni bora watu wasijitokeze ili wajue kuwa hawana uhalali wa umma.
 
Kama wananchi wanawaelewa, subiri uone idadi ya wapiga kura itakavyokuwa ndogo. Ama mwambie mtendaji wa mtaa wako aitishe kikao kisha uone idadi ya watakaohudhuria huo mkutano wake, kisha uje ulete mrejesho.
watu wa mitandaoni ndio huwa hawajitokezi field kupiga kura gentleman, wao hungangana kulalamika tu mitandaoni...

katika historia ya Tanzania, uchaguzi wa serikali za mitaa baadae Nov 27 mwaka huu, na ule uchaguzi mkuu ujao wa kihistoria ndizo chaguzi zitakazohudhuriwa na wapiga kura wengi katika historia ya Tanzania, kutokana na mazingira ya haki, sawa na huru ya siasa na kampeni zitakazotarajiwa kuanza hivi karibini 🐒
 
watu wa mitandaoni ndio huwa hawajitokezi field kupiga kura gentleman, wao hungangana kulalamika tu mitandaoni...

katika historia ya Tanzania, uchaguzi wa serikali za mitaa baadae Nov 27 mwaka huu, na ule uchaguzi mkuu ujao wa kihistoria ndizo chaguzi zitakazohudhuriwa na wapiga kura wengi katika historia ya Tanzania, kutokana na mazingira ya haki, sawa na huru ya siasa na kampeni zitakazotarajiwa kuanza hivi karibini 🐒
Nasema hivi, watu wasiojitambua, au wanaofaidika ni hizi chaguzi za kishenzi ndio wataendelea kujitokeza kushiriki huo upuuzi. Hakuna uwezekano watu waendelee kushiriki chaguzi zaidi ya miaka 30 huku wakitaka chaguzi za kweli, lakini chama kimoja kinachoshiriki chaguzi hizo kikawa kinapanga matokea yaweje. Ujinga huo rasmi tuliufunga uchaguzi wa 2020 chini ya shetani magu.
 
Nasema hivi, watu wasiojitambua, au wanaofaidika ni hizi chaguzi za kishenzi ndio wataendelea kujitokeza kushiriki huo upuuzi. Hakuna uwezekano watu waendelee kushiriki chaguzi zaidi ya miaka 30 huku wakitaka chaguzi za kweli, lakini chama kimoja kinachoshiriki chaguzi hizo kikawa kinapanga matokea yaweje. Ujinga huo rasmi tuliufunga uchaguzi wa 2020 chini ya shetani magu.
jijumuishe na wewe kwenye huo ushirikiana wako...

uchaguzi utafanyika na nyomi ya waTanzania watashriki bila mbambamba yoyote wala ramli zako 🐒
 
Back
Top Bottom