Chungu na tamu ya wafuasi wa Vyama vya Upinzani Tanzania

Chungu na tamu ya wafuasi wa Vyama vya Upinzani Tanzania

Kama wananchi wanawaelewa, subiri uone idadi ya wapiga kura itakavyokuwa ndogo. Ama mwambie mtendaji wa mtaa wako aitishe kikao kisha uone idadi ya watakaohudhuria huo mkutano wake, kisha uje ulete mrejesho.
Ukisikiliza press ya Mnyika ya tarehe 7 , utaona bado anasisitiza watu wakapige kura ili kupambana na serilkali.
 
Ukisikiliza press ya Mnyika ya tarehe 7 , utaona bado anasisitiza watu wakapige kura ili kupambana na serilkali.
Mnyika yeye ni haki yake maana ni katibu mkuu wa chama, lakini hana uwezo wa kutulazimisha sisi wapiga kura tunaojitambua kuendelea kushiriki huo uhuni.
 
Mnyika yeye ni haki yake maana ni katibu mkuu wa chama, lakini hana uwezo wa kutulazimisha sisi wapiga kura tunaojitambua kuendelea kushiriki huo uhuni.
Sasa apo ndio utaona msimamo wako na wengine mnaofanana unaakisi mtazamo wangu ulio jikita kua wafuasi wa vyama vya upinzani wengi hawajitokezi ama kushiriki katika chaguzi na hata mikutano ambako ndiko ajenda za ushindi zinapangwa.
Hope unaielewa sasa hoja yangu!
 
Sasa apo ndio utaona msimamo wako na wengine mnaofanana unaakisi mtazamo wangu ulio jikita kua wafuasi wa vyama vya upinzani wengi hawajitokezi ama kushiriki katika chaguzi na hata mikutano ambako ndiko ajenda za ushindi zinapangwa.
Hope unaielewa sasa hoja yangu!
Usitake kufanya hatujui ukweli. Ni hivi wapinzani wamekuwa wakijitokeza kupiga kura, na mwisho matokeo yanachezewa na hao wahesabu kura, sijui kura za maporoni. Katika mazingira hayo nani ataendelea kujitokeza kwenye kura zisizoheshimiwa? Watu hawajitokezi kupiga kura maana ni zoezi la kupotezeana muda kwakuwa watu wanakuja na matokeo mfukoni.

Mpinzani aende kwenye mkutano wa kiongozi kupanga maendeleo, kwani maendeleo yanapangwa na wananchi au viongozi? Isitoshe huwezi kuhudhiria kwenye mkutano wa kiongozi aliyeingia madarakani kwa kunajisi uchaguzi.
 
Usitake kufanya hatujui ukweli. Ni hivi wapinzani wamekuwa wakijitokeza kupiga kura, na mwisho matokeo yanachezewa na hao wahesabu kura, sijui kura za maporoni. Katika mazingira hayo nani ataendelea kujitokeza kwenye kura zisizoheshimiwa? Watu hawajitokezi kupiga kura maana ni zoezi la kupotezeana muda kwakuwa watu wanakuja na matokeo mfukoni.

Mpinzani aende kwenye mkutano wa kiongozi kupanga maendeleo, kwani maendeleo yanapangwa na wananchi au viongozi? Isitoshe huwezi kuhudhiria kwenye mkutano wa kiongozi aliyeingia madarakani kwa kunajisi uchaguzi.
Kwahiyo ukisusa si ndio kukiangusha chama chako . Nakukipa chama kingine kushinda kwa kishindo
 
Kwahiyo ukisusa si ndio kukiangusha chama chako . Nakukipa chama kingine kushinda kwa kishindo
Hata usiposusa bado ukipiga kura anatangazwa anayetakiwa na ccm. Hivyo kwenda kupoteza muda kwenye mstari wa kura ni upuuzi kama upuuzi mwingine.
 
Back
Top Bottom