Erickb52 asalam aleykum! kwema huko kwako? ni kukujulia hali tu! lol mpe hi Amyner! lolHehehehe Young Master unajifanyaga uko busy sn ngoja ile kwako ndo utajua....
cacico mi sisemi neno...!!
Btw kesho jioni nitafute
hiyo dola 100 naitoa kama appreciation ya kumuumbua mtu anayefanya plagilism, ukicopy na kupaste, lazima utoe source, usipotoa ni wizi, na its very simple kumkamata unacopy tuu sehemu ya huo wimbo, unauzamisha kwenye search, inakulink na original ilipoibiwa!.Haya The secretary changamkia dolari za Pasco wa JF ......Najua utasema unazo..lakini si unaongezea tu
lahaula! mmhh!ndio maana yake...!!! mnataka kumchakachua mke wangu wakati niko...kisa na mkasa??? siridhishi au??
hiyo dola 100 naitoa kama appreciation ya kumuumbua mtu anayefanya plagilism, ukicopy na kupaste, lazima utoe source, usipotoa ni wizi, na its very simple kumkamata unacopy tuu sehemu ya huo wimbo, unauzamisha kwenye search, inakulink na original ilipoibiwa!.
na mie sina chenza, chungwa, limao wala dalanzi! hapa ni ndimu changa, tena ndimu pori lol!Kizuri unakula na nduguyo...!!
farijika mwaya! ukiona wenzio wooooteeeee wameng'ang'ania machungwa na machenza, we hamia kwenye blue berrys, black, red, white berrys, kha! ya nini mbanano?! lol!Usijali..kauli yako imenipa faraja
speechless (in michael jackson's voice, lol!)Source: My concrete lifestyle
Secretary, ili iwe ni copy and paste, lazima na mimi hizo lyrics nitakuwa nimezicopy mahali na kuzi paste hapa!,
Nakuomba na wewe zitafute popote, ukizipata zibandike hapa na zimefanana, nakupa US $ 100!.
Kwa taarifa tuu, huo wimbo niliuzimikia sana, na ninao kichwani word to word, hiyo nimeandika toka kichwani, na kuna maneno kibao nimeyaandika jinsi nilivyoyasikia, naamini ikipatikana original lyrics yatakuwa tofauti!.
Ahadi yangu ya dola 100 inasimama, tena namuomba Invi aisimamie ili kuwafunza mafedhuli kama wewe kujifunza kuwa na shukrani!.
Pasco.