luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
iyo persol gs imekaaje mkuu .. hata wanaume twaweza pakaa iyoooKuna mtu kakushaur atumie persol ok saw ni nzur ila zipo according to levels na concentration kuna ya 3.5 5 na ile kubwa zaid yaan ile ya free acne so amewah tumia dawa yoyote ya kutoa hizo chunusi mwanzo
Second vipi amewah kutoa mimba na je mzunguko wake wa hedhi ukoje? Hapa panaweza leta majibu mazur zaid ya tatizo.
Je kama nampango wa kubeba mimba miaka mi3 ijayo bado kuna effect?Kuna Acnotin za 10mg and 20mg. Kama tatizo lakobni kubwa yani una chunusi nyingi unatumia 20mg na kama unazo za kawaida basi unaweza tumia za 10 mg. Bei ya 10mg kwenye pharmacy nyingi ni 15,000-18,000 kwa vidonge 10. But kuna pharmacy ipo kkoo mtaa wa kongo (in case upo dsm) bei yao ipo chini kidogo. Vidonge thelathin wanauza 36,000 if not 39,000. Halafu 20mg inarange kwenye 18,000-20,000.
kuna
1. Persol ya 2.5gm gell na
2. Persol ya 5gm gell huwa nzuri kwa chunusi lakini kwa kuwa zimekusumbua kwa muda
mrefu najua utakuwa umesha zitumia
Nina sumbuliwa na chunusi yapata miaka saba sasa,nilishauriwa nisipake mafuta yoyote usoni lakini bado haijasaidia.Naona usoni nimekua na madoa na chunusi bado zipo. Nimeshauriwa nitafute clairmen cream,lakini naona ina hydroquinone ambayo wataalam wanasema so nzuri kwenye ngozi. Msaada wenu tafadhali, cream/lotion ninayoweza kutumia maana Uso hautamaniki. Mimi ni mwanaume,rangi ya ngozi yangu,maji ya kunde.
iyo persol gs imekaaje mkuu .. hata wanaume twaweza pakaa iyooo
okay !! umeizungumzia vizuri ..labda na ww unaziuza izi dawaa nikuchekiYaaah hata boys wanatumia ila kwa wanaume mara chache sana nmepokea kesi hizi huwa ni kina Dada ndo wanasumbuliwa sana
Hyo persol huwa znaanzia chini kwa wale ambao hajawah tumia kabisa dawa yoyote kutibu chunusi/acne ndo unaanzia na 2.5 ikigoma unaenda za juu hivo hivo na unaweza pewa na antibiotics kama erythromycin kuuwa those bacteria ambazo wanakuwa inside kwenye chunusi
au kupigwa mashine pia? Daaah ushauri wako wa pili ni wa kichakaramu sanachunusi zipo za aina mbili
1. aina ya kwanza ni chunusi unapata ukiwa kwenye balehe, aisee zile utapambana nazo sana lakini lazima ujue yale ni mabadiliko katika mwili yatatokea kwa muda fulani then yatapita. Shida moja ni kuwa katika balehe ni kipindi ambacho kama kijana unajiskia na unataka kuwa mkamilifu hasa katika maumbile na muonekano wako.
2. aina ya pili ya chunusi mi naiona ni ile nikikaa muda mrefu bila kushiriki tendo zinatokeaga tu, hii dawa yake ni kupiga mashine tu.
Poleni sana, kwa changamoto hiyo, hilo linatibika kabisa na kufanya lisijirudie tena bila kuleta madhar yoyote, katika ngozi na hata katika kinga za ulinzi wa mwili wake.Jamani wa ungwana mdogo wangu anasumbuliwa sana na chunusi na mabaka yake....usoni.....kifuani na mgongoni.......naomba ushauri atumie dawa gani kuepusha ayo.....
Bila kuharibu ngozi wala rangi yake.
Umri 18.....jinsia Ke.
Asanteni.
kwa hiyo ww ulitumia zote za asili na mzungu??au ulitumia zaidi ipi??
Inaitwaje hio pharmacyKuna Acnotin za 10mg and 20mg. Kama tatizo lakobni kubwa yani una chunusi nyingi unatumia 20mg na kama unazo za kawaida basi unaweza tumia za 10 mg. Bei ya 10mg kwenye pharmacy nyingi ni 15,000-18,000 kwa vidonge 10. But kuna pharmacy ipo kkoo mtaa wa kongo (in case upo dsm) bei yao ipo chini kidogo. Vidonge thelathin wanauza 36,000 if not 39,000. Halafu 20mg inarange kwenye 18,000-20,000.