Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Mkuu kama unapaka mafuta usoni embu jaribu kuacha kwanza...............
 
Poa ntatuma jion

Sent using Jamii Forums mobile app
39332a49415484ed052b862c7fda2ff7.jpg
ef7597b0cc388a0a2cf5c0b78a9c0189.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar wanajamii wenzangu.

Kuna rafiki yangu anasumbuliwa sana na chunusi zaidi wakati akiingia kwenye siku zake. Aliambiwa akiwa na mtoto hiyo hali itaisha na sasa ashaolewa ila hali bado inaendelea

Naomba ushauri ni jinsi gani naweza msaidia.
 
Mi nlikuwaga na vichunus vikubwa hadi kama vidonda haviponi miaka nkaambiwa sabuni lundo nkatumia wapi. Mwisho wa maneno nkaja kuambiwa sabuni moja simple inaitwa ROBERTS ndo ikanisaidia, haikubaki chunusi hata moja.

Mwambie atafute hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
907dc118f14b30d6701169ced639de60.jpg
 
Kwa aneifaham katu hawezi kupinga
 

Attachments

  • IMG_20170810_140510.jpg
    IMG_20170810_140510.jpg
    37.9 KB · Views: 113
Back
Top Bottom