Chunusi kidevuni na puani

Chunusi kidevuni na puani

peterK2

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2017
Posts
293
Reaction score
91
Habari Jf,kama kichwa cha habari kinavyo jieleza na taka kujua tiba yake na mafuta yapi ni mazuri kutumia kwa ngozi zilizo mix(mafuta&kavu) kwa sasa na tumia cleare cocoabutter ila naona ina ni toa vipele mimi ni mwanaume wa dar, asanteni na subiri ushauri wenu
 
Habari Jf,kama kichwa cha habari kinavyo jieleza na taka kujua tiba yake na mafuta yapi ni mazuri kutumia kwa ngozi zilizo mix(mafuta&kavu) kwa sasa na tumia cleare cocoabutter ila naona ina ni toa vipele mimi ni mwanaume wa dar, asanteni na subiri ushauri wenu
Mwanaume wa dar. Nenda hospital au kwa wataalamu wa ngozi watakushauri kipi cha kufanya.
 
Back
Top Bottom