Chunusi yaua kijana Tanga

Siku yake ya kufa ilikuwa imefika ndo maana alikuwa amejiandaa na hata kumwaga mama yake. Kila mtu atakufa ila tusichojua ni kwamba atakufaje.
 
Kashikwa na msuli akiwa baharini kanywa vikombe mnasema chunusi

Ova
 
Kashikwa na msuli akiwa baharini kanywa vikombe mnasema chunusi

Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] stupid wabongo
 
Mambo ya kucheza na maji sipendi kabisa, kama kuna sehemu imenishinda na sitokuja kwenda ni Mbudya.
 
Apumzike kwa amani.
Habari kama hizi ndio zinanifanya niendelee kuwa muoga wa kuogelea.
 
CC: Mshana JR
 
Kuna uwezekano wa kuwa na mkondo wa maji unaotembea kwa chini (streams) halafu kwa juu maji yakaonekana yametulia! Au spidi ya streamlines za chini zikawa kubwa kuliko ya juu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…