lolypop
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,430
- 1,688
kwamba?kwa kiswahil hiki kanda ya ziwa huchomoki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwamba?kwa kiswahil hiki kanda ya ziwa huchomoki
Siku yake ya kufa ilikuwa imefika ndo maana alikuwa amejiandaa na hata kumwaga mama yake. Kila mtu atakufa ila tusichojua ni kwamba atakufaje.Habari wanajamvi,
Leo nimekuja na habari ya kweli na kusikitisha iliyonipa maswali magumu ambayo ni haya kwanza Chunusi wa baharini ni jini au mnyama? Je sayansi inatambuaje maiti iliyouliwa na Chunusi?
Basi habari yenyewe ni hii niliyoipata kwa stuff mwenzangu kuhusu msiba uliotokea kwa jirani yake mtoto aliekua akifanya kijiwe na wenzake nje ya fensi ya jirani yangu.
Wiki moja kabla ya kifo kijana huyo aliuza simu yake akidai mitandao inamfanya aangalie vitu vya ajabu, Jumapili siku ya tukio alimuomba radhi mama yake kwani walipishana itikadi kipindi cha uchaguzi mama akiwa CCM mtoto shabiki mnazi wa Lowassa na chama kubwa CHADEMA (UKAWA) tofauti hii iliwafanya wapishane kiasi flani hivo siku hio alimuomba msamaha mama yake nakumwambia hawatapishana tena kwasababu ya siasa.
Jamapili hio hio aliamua kufua nguo zake zoote na kubaki na nguo alioivaa tu huku akitangaza hataki uchafu maishani mwake, mama yake kwa furaha ya kuombwa msamaha na mwanae akaamua kumpikia pilau mwanae maana amejirudi.
Wakati shuhuli zote zinaendelea kijana aliamua kumtania mama yake nakumwambia apunguze kukopa lasivo kama yeye hatokuwepo hatokua na mtu wakumsaidia kulipa na hivo atamkunbuka sana hivo ajiandae kuacha kukopa.
Baada yakumaliza kufua na mama mtu alikua anafunikia pilau Jumapili hio kijana akaamua kwenda kwa washkaji zake mara moja mama alimsisitiza asichelewe, kufika tu kwa wenzake wakamwambia walikua wanamfuata ili waende bichi kuogelea kijana alikataa katu katu akasema leo hajisikii kutoka anataka ashinde nyumbani tu.
Kwakua wenzake walikua wawili walimzidi ushawishi ikabidi aende bila hata kula kufika kituo cha basi wanakutana na rafki yao mwngine nae akamsisitiza asiende kwani siku hio si nzuri, alimsihi sana jamaa akataka kukubali lakini wale wawil walishinda tena.
Kufika bichi kijana akawaambia wenzake kwamba leo anaweza kurudi nyunbani bila nguo, wenzake walipuuzia kwani walijua ni utani wake maana ni mtu mtani sana.
Wakaanza kuogelea baada ya mda hawamuoni mwenzao wakazani labda ameondoka nyumbani na kibukta kama alivosema hatorudi na nguo nyumbani, kufika geti la bichi anaulizwa mlizi kama kamuona akitoka akasema hapana kufika nyumbani kwao pia hajafika na nguo wanazo mkononi.
Ikajaa hofu nyumbani wakijua kesha zama, wakatoa taarifa polisi na wao wakaamua kwenda baharini alipokua akiogelea waone kama watauona japo mwili, na kweli waliuona ukielea wakautoa uli mwili ukiwa na matope miguuni tu macho yamemtoka na mikono ngozi kama alikua anashindana na mtu lakini akiwa hajavimba kwamba alikunywa maji, mpaka anazikwa macho yakiwa wazi yamekataa kufumba.
Inasikitisha ila inaniacha na maswali nashindwa kuamini ni kweli chunusu?
Mwenye uelewa na haya karibu utusaidie
Mwenye picha ya chunusi naomba aiweke, nimesikia story zake kitambo sana sijawahi mwona
Izo ndio zinaua?Mtafute kijana anaye balehe umwangalie usoni utakutana na chunusi zakutosha mkuu
Nahisi ukmuangalia fid Q utapata picha😄😄😄😁😜Mwenye picha ya chunusi naomba aiweke, nimesikia story zake kitambo sana sijawahi mwona
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] acha bangi mkuuNahisi ukmuangalia fid Q utapata picha[emoji1][emoji1][emoji1][emoji16][emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] stupid wabongoKashikwa na msuli akiwa baharini kanywa vikombe mnasema chunusi
Ova
We una amini chunusi yupo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] stupid wabongo
Ndio maana nimeomba picha, kama wametuma hadi picha ya kiumbe alieishi kabla ya dunia kuumbwa, may be watatuma na ya chunusiWe una amini chunusi yupo
Ova
Wakikutumia picha uni tag mkuuNdio maana nimeomba picha, kama wametuma hadi picha ya kiumbe alieishi kabla ya dunia kuumbwa, may be watatuma na ya chunusi
CC: Mshana JRHabari wanajamvi,
Leo nimekuja na habari ya kweli na kusikitisha iliyonipa maswali magumu ambayo ni haya kwanza Chunusi wa baharini ni jini au mnyama? Je sayansi inatambuaje maiti iliyouliwa na Chunusi?
Basi habari yenyewe ni hii niliyoipata kwa stuff mwenzangu kuhusu msiba uliotokea kwa jirani yake mtoto aliekua akifanya kijiwe na wenzake nje ya fensi ya jirani yangu.
Wiki moja kabla ya kifo kijana huyo aliuza simu yake akidai mitandao inamfanya aangalie vitu vya ajabu, Jumapili siku ya tukio alimuomba radhi mama yake kwani walipishana itikadi kipindi cha uchaguzi mama akiwa CCM mtoto shabiki mnazi wa Lowassa na chama kubwa CHADEMA (UKAWA) tofauti hii iliwafanya wapishane kiasi flani hivo siku hio alimuomba msamaha mama yake nakumwambia hawatapishana tena kwasababu ya siasa.
Jamapili hio hio aliamua kufua nguo zake zoote na kubaki na nguo alioivaa tu huku akitangaza hataki uchafu maishani mwake, mama yake kwa furaha ya kuombwa msamaha na mwanae akaamua kumpikia pilau mwanae maana amejirudi.
Wakati shuhuli zote zinaendelea kijana aliamua kumtania mama yake nakumwambia apunguze kukopa lasivo kama yeye hatokuwepo hatokua na mtu wakumsaidia kulipa na hivo atamkunbuka sana hivo ajiandae kuacha kukopa.
Baada yakumaliza kufua na mama mtu alikua anafunikia pilau Jumapili hio kijana akaamua kwenda kwa washkaji zake mara moja mama alimsisitiza asichelewe, kufika tu kwa wenzake wakamwambia walikua wanamfuata ili waende bichi kuogelea kijana alikataa katu katu akasema leo hajisikii kutoka anataka ashinde nyumbani tu.
Kwakua wenzake walikua wawili walimzidi ushawishi ikabidi aende bila hata kula kufika kituo cha basi wanakutana na rafki yao mwngine nae akamsisitiza asiende kwani siku hio si nzuri, alimsihi sana jamaa akataka kukubali lakini wale wawil walishinda tena.
Kufika bichi kijana akawaambia wenzake kwamba leo anaweza kurudi nyunbani bila nguo, wenzake walipuuzia kwani walijua ni utani wake maana ni mtu mtani sana.
Wakaanza kuogelea baada ya mda hawamuoni mwenzao wakazani labda ameondoka nyumbani na kibukta kama alivosema hatorudi na nguo nyumbani, kufika geti la bichi anaulizwa mlizi kama kamuona akitoka akasema hapana kufika nyumbani kwao pia hajafika na nguo wanazo mkononi.
Ikajaa hofu nyumbani wakijua kesha zama, wakatoa taarifa polisi na wao wakaamua kwenda baharini alipokua akiogelea waone kama watauona japo mwili, na kweli waliuona ukielea wakautoa uli mwili ukiwa na matope miguuni tu macho yamemtoka na mikono ngozi kama alikua anashindana na mtu lakini akiwa hajavimba kwamba alikunywa maji, mpaka anazikwa macho yakiwa wazi yamekataa kufumba.
Inasikitisha ila inaniacha na maswali nashindwa kuamini ni kweli chunusu?
Mwenye uelewa na haya karibu utusaidie
Shirki hii tena shirki kubwaHao ndugu wajaribu kutembea kidogo