Usipende kutumia vitu vyenye mafuta sana....mf karanga....kama unatumia shower gel iwekee manjano kidg na rose water....shuka na foronya viwe Safi sana kila siku....simu yako uwe unaifuta vzuri kbla ujaiweka sikioni..... usipende kujishika shika uso kila mara kwa mara.....kabla ya kulala make sure uso ni msafiNimetumia dawa za aina nyingi na hizi tube zinapungua kidogo zen zinarudi sasa hivi ndio zimeongezeka msaada wenu hapo wakuu tiba ipi ni nzuri.
mleta mada, Jawabu la tatizo lako hili hapa, Achana na habari zingineUsipende kutumia vitu vyenye mafuta sana....mf karanga....kama unatumia shower gel iwekee manjano kidg na rose water....shuka na foronya viwe Safi sana kila siku....simu yako uwe unaifuta vzuri kbla ujaiweka sikioni..... usipende kujishika shika uso kila mara kwa mara.....kabla ya kulala make sure uso ni msafi
NakaziaUsijali sana kipindi cha baleghe kina mambo mengi,. muhimu ujue ni kipindi cha mpito tuu, zitaisha zenyewe.
View attachment 1787578
Tafuta hii pia
Inaondoa tatizo la chunusi mazima?Pears ni nzuri sana
vp hujafanikiwa? mbna hujaleta mrejeshoNikifanikiwa kwa ushauri wenu nitaleta mrejesho.
Anatic soap ndio dawa pekee ya tatizo lako.wasilana nasi kwa namba 0678211747. Tupo ILALA BOMA MWALU HOUSE.Nimetumia dawa za aina nyingi na hizi tube zinapungua kidogo zen zinarudi sasa hivi ndio zimeongezeka msaada wenu hapo wakuu tiba ipi ni nzuri.