chuo bora kpo na ndo maana hata credit za kujiunga na vyuo znatofautiana.usangalie tu kwa mtazamo wa tz, ukienda marekan chuo knachoheshimika au ni bora kurko vyote marekani ni havard university na kna sifa ya kutoa marais wanaoongoza nchi hiyo takriban marais wote wa marekan wamesoma chuon hapo, au oxford