Wewe hakuna chuo bora....Ila kuna wanafunzi bora ambao wanaweza kutatua matatizo ya nchi.....Una nini kichwani,unatoa service gani,Vyuo ni kama daladala bora ufike...Chuo bora ni unani kichwani
chuo bora kpo na ndo maana hata credit za kujiunga na vyuo znatofautiana.usangalie tu kwa mtazamo wa tz, ukienda marekan chuo knachoheshimika au ni bora kurko vyote marekani ni havard university na kna sifa ya kutoa marais wanaoongoza nchi hiyo takriban marais wote wa marekan wamesoma chuon hapo, au oxford
Kuna nchi ambazo zna uwezo wa kutengansha vyuo kutokana na ubora wa chuo ila kwa tanzania kwa sasa wanaiga2 ila bdo cjaona utofauti wa huduma znazotolewa chuoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.