Mjinga kabisa huyo ameona kuongea mbele ya camera ni sifa kumbe anajiua yeye na mwenzakeHawa mabinti wanasema waliweza kufanyiana mitihani na hakuna aliyegundua na sasa wanakwenda hadharani kusema kuwa waliweza kufanya hivyo ni wazi dharau sana kwa taasisi hii ya Elimu na inathibitisha kuwa taasisi hii haiko makini na kuna walakini kwenye hutoaji wa Elimu!
Kuna elimu hapa bongo au tunakaririshwa tuTumekuwa tukisikia hapa Duniani hasa Tanzania kuwa huwa kuna degree za bure na wengine wamekuwa wakisema kuna degree za chupi!
Lakini sijawai kusikia au kuona watuhumiwa wakikiri kufanya uhalifu kabisa hadharani!
Chuo cha Ardhi ni chuo kizuri lakini ikifika hatua ya watu kisa tuu mapacha wanaweza kufanyiana mitihani na wana kiri hadharani kuwa walifanyiana mitihani tena ya supplimentary basi ujue hii ni hatua kubwa na dharau kubwa sana kwa taasisi hasa ya Elimu ya juu na inayo aminika!
Hawa mabinti wanasema waliweza kufanyiana mitihani na hakuna aliyegundua na sasa wanakwenda hadharani kusema kuwa waliweza kufanya hivyo ni wazi dharau sana kwa taasisi hii ya Elimu na inathibitisha kuwa taasisi hii haiko makini na kuna walakini kwenye hutoaji wa Elimu!
Watu wana hangaika sana kupata elimu halafu watu wanaidhalilisha elimu kiasi hiki …hii ni aibu kwa chuo cha Ardhi na Wizara ya Elimu pia!
Watu wengi wamekuwa wakitilia mashaka sana Elimu zetu hasa utoaji wake na sasa ni wazi wahalifu wameanza kutoa ushahidi wa mashaka kwenye hizi degree zilizojaa mtaani!
Ni matuamaini yangu taasisi itachukua hatua kali dhidi ya uhalifu huu wa kielemu uliofanywa na hawa mapacha na kwenda kukiri hadharani kwenye chombo cha habari Wasafi FM!
Source: Wasafi FM
View attachment 2926553
Hii ni jinai 100%,hadi lecture sukumia ndani!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]halafu inawezekana aliyewapa mbinu ni lecturer
Hapo wanapo fanana kweli kweli ndiyo huwezi thibitisha ni nani kafanya udanganyifu!!? Hapo bado pagumu!!Mzumbe pia morogoro kulikuwa na mapacha wa kike wanafanyiana mtihani
Mmoja kichwa anajua hesabu sana anasoma kozi ya BAF mwingine kilaza hajui hesabu anasoma kozi ya marketing
Hivyo yule kichwa akawa anambeba pacha wake maana walikuwa kozi tofauti pepa zinapishana ratiba. Mpaka UE anamfanyia.
Siku ya pepa za hesabu, accounts, na economics pacha kilaza alikuwa anafanyiwa na pacha kichwa.
Inasemekana mpaka necta form 6 alimfanyia pacha wake pepa ya Basic applied Mathematics maana pacha kichwa yeye alikuwa hafanyi BAM yeye alikuwa anafanya pepa ya Pure Mathematics ambayo ilikuwa siku tofauti.
Hao mapacha Wanafanana kweli kweli bila kuwazoea sana huwezi watofautisha
Kwa mtihani wa form six haiwezekaniMzumbe pia morogoro kulikuwa na mapacha wa kike wanafanyiana mtihani
Mmoja kichwa anajua hesabu sana anasoma kozi ya BAF mwingine kilaza hajui hesabu anasoma kozi ya marketing
Hivyo yule kichwa akawa anambeba pacha wake maana walikuwa kozi tofauti pepa zinapishana ratiba. Mpaka UE anamfanyia.
Siku ya pepa za hesabu, accounts, na economics pacha kilaza alikuwa anafanyiwa na pacha kichwa.
Inasemekana mpaka necta form 6 alimfanyia pacha wake pepa ya Basic applied Mathematics maana pacha kichwa yeye alikuwa hafanyi BAM yeye alikuwa anafanya pepa ya Pure Mathematics ambayo ilikuwa siku tofauti.
Hao mapacha Wanafanana kweli kweli bila kuwazoea sana huwezi watofautisha
Tukikwambia uwatofautishe,yupi kamfanyia mtihani mwenzake unaweza watofautisha!!??Duu hivi vyuo jamani kwa hiyo kumbe watu wanaweza fanyiana mitihani kwakuwa ni mapacha? Ina maana kila kitu hadi registration number wana fanana? Ili la kwenda kwenye vyombo vya habari na kukiri ni fedheha kubwa sana kwa chuo!
Alafu ni mizuri tu ina mishedede hatari!Tumekuwa tukisikia hapa Duniani hasa Tanzania kuwa huwa kuna degree za bure na wengine wamekuwa wakisema kuna degree za chupi!
Lakini sijawai kusikia au kuona watuhumiwa wakikiri kufanya uhalifu kabisa hadharani!
Chuo cha Ardhi ni chuo kizuri lakini ikifika hatua ya watu kisa tuu mapacha wanaweza kufanyiana mitihani na wana kiri hadharani kuwa walifanyiana mitihani tena ya supplimentary basi ujue hii ni hatua kubwa na dharau kubwa sana kwa taasisi hasa ya Elimu ya juu na inayo aminika!
Hawa mabinti wanasema waliweza kufanyiana mitihani na hakuna aliyegundua na sasa wanakwenda hadharani kusema kuwa waliweza kufanya hivyo ni wazi dharau sana kwa taasisi hii ya Elimu na inathibitisha kuwa taasisi hii haiko makini na kuna walakini kwenye hutoaji wa Elimu!
Watu wana hangaika sana kupata elimu halafu watu wanaidhalilisha elimu kiasi hiki …hii ni aibu kwa chuo cha Ardhi na Wizara ya Elimu pia!
Watu wengi wamekuwa wakitilia mashaka sana Elimu zetu hasa utoaji wake na sasa ni wazi wahalifu wameanza kutoa ushahidi wa mashaka kwenye hizi degree zilizojaa mtaani!
Ni matuamaini yangu taasisi itachukua hatua kali dhidi ya uhalifu huu wa kielemu uliofanywa na hawa mapacha na kwenda kukiri hadharani kwenye chombo cha habari Wasafi FM!
Source: Wasafi FM
View attachment 2926553
Elimu haijawakomboaNi warembo lkn hawana hekima wala busara, maana hekima ni kuliweka kila jambo mahala pake,,,sasa kama hawajui walichofanya ni kosa na kama haitoshi wanajisikia sifa kuongea hadharani,basi ni wapuuzi Sana
Kukiri hakumtii mtu hatiani, lazima uwepo na ushahidi wa ziada. Leo nikikiri nilimuua fulani, hakimu/jaji hawezi kunihukumu bila ya kuwa na ushahidi usiotia shaka.Kama washapewa hzo degree....chuo wazi revoke cause wenyewe wamekiri hadharan kuwa wali cheat kwenye mitihan
Unaweza kujikutq unawala wote bila kujua usikute hata radha wanafananaMzumbe pia morogoro kulikuwa na mapacha wa kike wanafanyiana mtihani
Mmoja kichwa anajua hesabu sana anasoma kozi ya BAF mwingine kilaza hajui hesabu anasoma kozi ya marketing
Hivyo yule kichwa akawa anambeba pacha wake maana walikuwa kozi tofauti pepa zinapishana ratiba. Mpaka UE anamfanyia.
Siku ya pepa za hesabu, accounts, na economics pacha kilaza alikuwa anafanyiwa na pacha kichwa.
Inasemekana mpaka necta form 6 alimfanyia pacha wake pepa ya Basic applied Mathematics maana pacha kichwa yeye alikuwa hafanyi BAM yeye alikuwa anafanya pepa ya Pure Mathematics ambayo ilikuwa siku tofauti.
Hao mapacha Wanafanana kweli kweli bila kuwazoea sana huwezi watofautisha