RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Kwani kwenye vitambulisho usajili una fanana hasa kwa case ya mapacha?
Wanafanana sura. Anachukua kitambulisho cha pacha wakeHadi registration number?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kwenye vitambulisho usajili una fanana hasa kwa case ya mapacha?
Wanafanana sura. Anachukua kitambulisho cha pacha wakeHadi registration number?
Sio bongo. Wabunge wenyewe wengi tu wapo bungeni kwa ngekewa. Wapo waliosema wazi kuwa ubunge wao ni wa kupewa na JPM. Je wamevuliwa ubunge? Kwa nini!If you have found guilty or misconduct, even decades after graduating, academic institutions have the right to revoke your degree.
A college can revoke a degree if a student is discovered to have earned it illegitimately, be it by plagiarism or any other form of academic misconduct.
Kwa msaada wa mtandao.
Tanzania hakuna elimu ni biashara tu na janja janja.Kuna elimu hapa bongo au tunakaririshwa tu
Hawa ni wapuuzi sanaTumekuwa tukisikia hapa Duniani hasa Tanzania kuwa huwa kuna degree za bure na wengine wamekuwa wakisema kuna degree za chupi!
Lakini sijawai kusikia au kuona watuhumiwa wakikiri kufanya uhalifu kabisa hadharani!
Chuo cha Ardhi ni chuo kizuri lakini ikifika hatua ya watu kisa tuu mapacha wanaweza kufanyiana mitihani na wana kiri hadharani kuwa walifanyiana mitihani tena ya supplimentary basi ujue hii ni hatua kubwa na dharau kubwa sana kwa taasisi hasa ya Elimu ya juu na inayo aminika!
Hawa mabinti wanasema waliweza kufanyiana mitihani na walimaliza chuo kikuu Ardhi(ARU) mwaka 2021 hakuna aliyegundua na sasa wanakwenda hadharani kusema kuwa waliweza kufanya hivyo ni wazi dharau sana kwa taasisi hii ya Elimu na inathibitisha kuwa taasisi hii haiko makini na kuna walakini kwenye hutoaji wa Elimu!
Watu wana hangaika sana kupata elimu halafu watu wanaidhalilisha elimu kiasi hiki …hii ni aibu kwa chuo cha Ardhi na Wizara ya Elimu pia!
Watu wengi wamekuwa wakitilia mashaka sana Elimu zetu hasa utoaji wake na sasa ni wazi wahalifu wameanza kutoa ushahidi wa mashaka kwenye hizi degree zilizojaa mtaani!
Ni matuamaini yangu taasisi itachukua hatua kali dhidi ya uhalifu huu wa kielemu uliofanywa na hawa mapacha na kwenda kukiri hadharani kwenye chombo cha habari Wasafi FM!
Source: Wasafi FM
View attachment 2926553
Mbona kama unaelekeza lawama kwa kitu ambacho kiko nje ya uwezo wa Lecturer au chuo? Unapoingia kwenye mtihani unaonyesha kitambulisho, hawatumii DNA kutambua wanafunzi..Sasa kama hao wanafunzi wanafana akichukua kitambulisho cha mwenzake, unategemea mwalimu agundue vipi?Tumekuwa tukisikia hapa Duniani hasa Tanzania kuwa huwa kuna degree za bure na wengine wamekuwa wakisema kuna degree za chupi!
Lakini sijawai kusikia au kuona watuhumiwa wakikiri kufanya uhalifu kabisa hadharani!
Chuo cha Ardhi ni chuo kizuri lakini ikifika hatua ya watu kisa tuu mapacha wanaweza kufanyiana mitihani na wana kiri hadharani kuwa walifanyiana mitihani tena ya supplimentary basi ujue hii ni hatua kubwa na dharau kubwa sana kwa taasisi hasa ya Elimu ya juu na inayo aminika!
Hawa mabinti wanasema waliweza kufanyiana mitihani na walimaliza chuo kikuu Ardhi(ARU) mwaka 2021 hakuna aliyegundua na sasa wanakwenda hadharani kusema kuwa waliweza kufanya hivyo ni wazi dharau sana kwa taasisi hii ya Elimu na inathibitisha kuwa taasisi hii haiko makini na kuna walakini kwenye hutoaji wa Elimu!
Watu wana hangaika sana kupata elimu halafu watu wanaidhalilisha elimu kiasi hiki …hii ni aibu kwa chuo cha Ardhi na Wizara ya Elimu pia!
Watu wengi wamekuwa wakitilia mashaka sana Elimu zetu hasa utoaji wake na sasa ni wazi wahalifu wameanza kutoa ushahidi wa mashaka kwenye hizi degree zilizojaa mtaani!
Ni matuamaini yangu taasisi itachukua hatua kali dhidi ya uhalifu huu wa kielemu uliofanywa na hawa mapacha na kwenda kukiri hadharani kwenye chombo cha habari Wasafi FM!
Source: Wasafi FM
View attachment 2926553
Kitendo cha kuja kutamba hadharani ndio maana naona chuo ndio shidaMbona kama unaelekeza lawama kwa kitu ambacho kiko nje ya uwezo wa Lecturer au chuo? Unapoingia kwenye mtihani unaonyesha kitambulisho, hawatumii DNA kutambua wanafunzi..Sasa kama hao wanafunzi wanafana akichukua kitambulisho cha mwenzake, unategemea mwalimu agundue vipi?
Kabisa……..Tatizo ni uzembe tu wa wasimamizi wa mitihani; wakisimama milangoni huwa hawawakagui vizuri wanafunzi, wanatazama particulars kwa mbali tu kisha wanakwambia ingia, hao mapacha walishausoma mchezo wakatumia gap kufanya yao.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kabisa. Kiherehere chote kwisha.Yani hapo walipo muda huu najua wanajuta kufanya interview😂😂😂😂😂
Issue hapo ni ushahid mzee kumbka hapo ni radio station unaweza kujitapa unakaa masaki na unamiliki range wakati ulikwenda hapo na boda boda toka gongo la mbotoKama washapewa hzo degree....chuo wazi revoke cause wenyewe wamekiri hadharan kuwa wali cheat kwenye mitihan
Wamejichanganya sana sanaHizo hubaki kua siri kwa wahusika, wasimuliane wao, wacheeke mpaka wanyambe.
Walivyo vichwa maji wanaenda kutangaza as if ni sifa. Kama kuna kiongozi wa chuo anapenda kutrend basi wanafutiwa hizo degree zao.
Labda wanadhani ukishapata gamba basi ni kwishney.