Chuo cha Ardhi kinapaswa kuchukua hatua dhidi ya mabinti mapacha waliokiri kufanyiana mitihani

Chuo cha Ardhi kinapaswa kuchukua hatua dhidi ya mabinti mapacha waliokiri kufanyiana mitihani

If you have found guilty or misconduct, even decades after graduating, academic institutions have the right to revoke your degree.

A college can revoke a degree if a student is discovered to have earned it illegitimately, be it by plagiarism or any other form of academic misconduct.

Kwa msaada wa mtandao.
Sio bongo. Wabunge wenyewe wengi tu wapo bungeni kwa ngekewa. Wapo waliosema wazi kuwa ubunge wao ni wa kupewa na JPM. Je wamevuliwa ubunge? Kwa nini!
 
Tumekuwa tukisikia hapa Duniani hasa Tanzania kuwa huwa kuna degree za bure na wengine wamekuwa wakisema kuna degree za chupi!

Lakini sijawai kusikia au kuona watuhumiwa wakikiri kufanya uhalifu kabisa hadharani!

Chuo cha Ardhi ni chuo kizuri lakini ikifika hatua ya watu kisa tuu mapacha wanaweza kufanyiana mitihani na wana kiri hadharani kuwa walifanyiana mitihani tena ya supplimentary basi ujue hii ni hatua kubwa na dharau kubwa sana kwa taasisi hasa ya Elimu ya juu na inayo aminika!

Hawa mabinti wanasema waliweza kufanyiana mitihani na walimaliza chuo kikuu Ardhi(ARU) mwaka 2021 hakuna aliyegundua na sasa wanakwenda hadharani kusema kuwa waliweza kufanya hivyo ni wazi dharau sana kwa taasisi hii ya Elimu na inathibitisha kuwa taasisi hii haiko makini na kuna walakini kwenye hutoaji wa Elimu!

Watu wana hangaika sana kupata elimu halafu watu wanaidhalilisha elimu kiasi hiki …hii ni aibu kwa chuo cha Ardhi na Wizara ya Elimu pia!

Watu wengi wamekuwa wakitilia mashaka sana Elimu zetu hasa utoaji wake na sasa ni wazi wahalifu wameanza kutoa ushahidi wa mashaka kwenye hizi degree zilizojaa mtaani!

Ni matuamaini yangu taasisi itachukua hatua kali dhidi ya uhalifu huu wa kielemu uliofanywa na hawa mapacha na kwenda kukiri hadharani kwenye chombo cha habari Wasafi FM!

Source: Wasafi FM

View attachment 2926553
Hawa ni wapuuzi sana

Wameharibu their careers kijinga sana for fame ya dk 1
 
Tumekuwa tukisikia hapa Duniani hasa Tanzania kuwa huwa kuna degree za bure na wengine wamekuwa wakisema kuna degree za chupi!

Lakini sijawai kusikia au kuona watuhumiwa wakikiri kufanya uhalifu kabisa hadharani!

Chuo cha Ardhi ni chuo kizuri lakini ikifika hatua ya watu kisa tuu mapacha wanaweza kufanyiana mitihani na wana kiri hadharani kuwa walifanyiana mitihani tena ya supplimentary basi ujue hii ni hatua kubwa na dharau kubwa sana kwa taasisi hasa ya Elimu ya juu na inayo aminika!

Hawa mabinti wanasema waliweza kufanyiana mitihani na walimaliza chuo kikuu Ardhi(ARU) mwaka 2021 hakuna aliyegundua na sasa wanakwenda hadharani kusema kuwa waliweza kufanya hivyo ni wazi dharau sana kwa taasisi hii ya Elimu na inathibitisha kuwa taasisi hii haiko makini na kuna walakini kwenye hutoaji wa Elimu!

Watu wana hangaika sana kupata elimu halafu watu wanaidhalilisha elimu kiasi hiki …hii ni aibu kwa chuo cha Ardhi na Wizara ya Elimu pia!

Watu wengi wamekuwa wakitilia mashaka sana Elimu zetu hasa utoaji wake na sasa ni wazi wahalifu wameanza kutoa ushahidi wa mashaka kwenye hizi degree zilizojaa mtaani!

Ni matuamaini yangu taasisi itachukua hatua kali dhidi ya uhalifu huu wa kielemu uliofanywa na hawa mapacha na kwenda kukiri hadharani kwenye chombo cha habari Wasafi FM!

Source: Wasafi FM

View attachment 2926553
Mbona kama unaelekeza lawama kwa kitu ambacho kiko nje ya uwezo wa Lecturer au chuo? Unapoingia kwenye mtihani unaonyesha kitambulisho, hawatumii DNA kutambua wanafunzi..Sasa kama hao wanafunzi wanafana akichukua kitambulisho cha mwenzake, unategemea mwalimu agundue vipi?
 
Mbona kama unaelekeza lawama kwa kitu ambacho kiko nje ya uwezo wa Lecturer au chuo? Unapoingia kwenye mtihani unaonyesha kitambulisho, hawatumii DNA kutambua wanafunzi..Sasa kama hao wanafunzi wanafana akichukua kitambulisho cha mwenzake, unategemea mwalimu agundue vipi?
Kitendo cha kuja kutamba hadharani ndio maana naona chuo ndio shida
 
Tatizo ni uzembe tu wa wasimamizi wa mitihani; wakisimama milangoni huwa hawawakagui vizuri wanafunzi, wanatazama particulars kwa mbali tu kisha wanakwambia ingia, hao mapacha walishausoma mchezo wakatumia gap kufanya yao.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Hizo hubaki kua siri kwa wahusika, wasimuliane wao, wacheeke mpaka wanyambe.

Walivyo vichwa maji wanaenda kutangaza as if ni sifa. Kama kuna kiongozi wa chuo anapenda kutrend basi wanafutiwa hizo degree zao.

Labda wanadhani ukishapata gamba basi ni kwishney.
 
Nazidi kuamini maneno ya jamaa mmoja kuhusu hawa watoto waliozaliwa miaka ya 2000. Hawa watoto ni changamoto mno! Hawana adabu wala akili, wao kila wanachofanyia gizani wanataka tusiokuwepo pia tuyafahamu.
 
Hizo hubaki kua siri kwa wahusika, wasimuliane wao, wacheeke mpaka wanyambe.

Walivyo vichwa maji wanaenda kutangaza as if ni sifa. Kama kuna kiongozi wa chuo anapenda kutrend basi wanafutiwa hizo degree zao.

Labda wanadhani ukishapata gamba basi ni kwishney.
Wamejichanganya sana sana
 
Back
Top Bottom