Chuo cha Ardhi kinapaswa kuchukua hatua dhidi ya mabinti mapacha waliokiri kufanyiana mitihani

Nmefanyia sana watu necta ya darasa la 4 ....karibia watu wanne hivi...ili shule ionekane inafaulisha balaaa...
 
Hizo ni stories hazina ukweli wote, wanawez wakasema pale tulikuwa tunatania ndio maaana tulikuwa tunacheka
 
Hamna chuo hapo , takataka kabisa hivi vyuo vya serikali

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Halafu utakuta ndio waliopata GPA za first class honours
Elimu ya Bongo ni rubbish kabisa

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Naona uliamua kuwasagia kunguni hadi chuo cha Ardhi kimetoa tamko la kuwafuatilia rasmi.
 
Kesi ndogo maana ushahid utakosekana kwa pia wanaweza kusema ilikuwa kiki tu

Hao hata lecture kuwatofautisha hawezi mifumo ya camera pia haiwezi
So what next

Wataendelea tu kuishi somo moja tu
 
Naona uliamua kuwasagia kunguni hadi chuo cha Ardhi kimetoa tamko la kuwafuatilia rasmi.
apo ndo akili ya mweusi ilipoishia mkuu

mwenzie akiharibikiwa ndo anakuwa raha mustarehe

yani bora tufanane[emoji57]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…