KERO Chuo cha CBE Dar es Salaam hakajapeleka matokeo yangu NACTEVET ili niombe AVN

KERO Chuo cha CBE Dar es Salaam hakajapeleka matokeo yangu NACTEVET ili niombe AVN

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Mimi ni mwanafunzi nimemaliza Diploma katika chuo cha CBE, changamoto yangu kubwa hawataki kupeleka matokeo yangu NACTE ili niweze kuapply AVN namba niweze kuendelea na degree.

Nimejaribu kwenda mara nyingi lakini jibu nalojibiwa tunafanyia kazi, sasa ni miezi miwili nahangaika maana mimi ni nimesoma March intake

Nakata hadi tamaa ya kuendelea degree kwasababu nataka niombe mkopo nakwama na dirisha la mkopo linafugwa tarehe 31/8

Naombeni mnisaidie niweze kuendelea na masomo.
 
Katika chuo kinaongoza kwa uzembe na utendaji mbovu hasa kwenye suala la matokeo ya wanafunzi ni CBE
Kuna binti alisoma hapo miaka 2 iliyopita anaenda kufuata matokeo anaambiwa matokeo yake yamepotea kwenye system.

CBE inabidi inunue system ya computer mpya na yenye uwezo wa kuhifadhi, kuonesha na mfumo mzima wa ku upgrade matokeo ili yaonekane Nacte na TCU.
Vyuo vingine vingi viko sawa sana kwenye issue za matokeo lakini sio CBE mtoto anaweza kusoma certificate mpaka degree na matokeo yasije kuonekana anapomaliza kuna utapeli fulani hivi na uvivu wa watendaji pale CBe.
Sishauri vijana wakimbilie kwenda kusoma hapo CBE.
 
Back
Top Bottom