A
Anonymous
Guest
Chuo cha City College kimewaaacha njia panda wanafunzi waliohitimu masomo yao Mwaka huu 2024 baada ya kutangaza kuwa mahafali( graduation) yatafanyika tarehe 22/11/2024 na kuwahimiza wanafunzi kulipia majoho kiasi cha shilingi 50000/= kwa dead line ya tarehe 12/10 baada ya wanafunzi kufanya malipo hayo kwa haraka ghafla wametangaza kuahirisha mahafali bila kutoa tarehe ya mahafali hayo yatakuwa lini.
Tabia ya ubabaishaji kwa chuo hiki haijaanza leo hasa kwa campus za Dodoma na Mwanza. Tunaomba serikali iingilie kati maana tunafahamu tabia yao wakianza ubabaishaji huu mwisho wa siku tutasubiri sana.
Pia baadhi ya wahitimu wanalalamika tayari wameshafanya booking za usafiri. Mahafali hayo yalitakiwa kufanyika Mwanza huku kampasi zote zikiwa zinatarajia kukutana huko Mwanza.
Tabia ya ubabaishaji kwa chuo hiki haijaanza leo hasa kwa campus za Dodoma na Mwanza. Tunaomba serikali iingilie kati maana tunafahamu tabia yao wakianza ubabaishaji huu mwisho wa siku tutasubiri sana.
Pia baadhi ya wahitimu wanalalamika tayari wameshafanya booking za usafiri. Mahafali hayo yalitakiwa kufanyika Mwanza huku kampasi zote zikiwa zinatarajia kukutana huko Mwanza.