Eliakim Mwangobola
Member
- Feb 21, 2014
- 12
- 3
Wana jukwaa poleni na shughuli zenu za leo.
Napenda kuwajulisehni kuwa Chuo chetu cha Elimu ya Biashara (CBE) kitatimiza miaka 50 tangu kianzishwe tarehe 25/01/2015. Chuo kimepanga kuzindua sherehe za kuazimisha miaka 50 tarehe 31/07/2014. Watu wote waliowahi kusoma CBE (CBE Alumnae) na wengine wanakaribishwa sana.Pia CBE ALUMNAE mtakao pata taarifa hii mnaomba kuwtaarifu ALUMNAE wengine.
Itakumbukwa pia kuwa chuo hiki kwa kushrikiana na "Eastern Finiland University" Kilizindua PHD HUB ambapo Profesor kutoka chuo hicho cha Finiland atahamishia kiti chake cha U-Professor hapa CBE na kuwasimamia wanafunzi wa PHD akiwa hapa hapa CBE
Mnakaribishwa
Source Mimi mwenyewe
Napenda kuwajulisehni kuwa Chuo chetu cha Elimu ya Biashara (CBE) kitatimiza miaka 50 tangu kianzishwe tarehe 25/01/2015. Chuo kimepanga kuzindua sherehe za kuazimisha miaka 50 tarehe 31/07/2014. Watu wote waliowahi kusoma CBE (CBE Alumnae) na wengine wanakaribishwa sana.Pia CBE ALUMNAE mtakao pata taarifa hii mnaomba kuwtaarifu ALUMNAE wengine.
Itakumbukwa pia kuwa chuo hiki kwa kushrikiana na "Eastern Finiland University" Kilizindua PHD HUB ambapo Profesor kutoka chuo hicho cha Finiland atahamishia kiti chake cha U-Professor hapa CBE na kuwasimamia wanafunzi wa PHD akiwa hapa hapa CBE
Mnakaribishwa
Source Mimi mwenyewe