bado mgawanyo wa rasilimali hauko sawa hapa. naona kila kitu bado kinawekwa kwenye mazingira yaleyale tu.
SERIKALI HEBU ANGALIENI NA MAENEO MENGINE BASI
Why kila kitu Pwani? Kigoma? Tabora? Aaaargh! Kikwete wewe, CCM nyie
Kigoma na Tabora na wao watoe Rais uwekezaji utahamia huko.
kwa nini? Wasikilete musoma..daah hii serikali ye2..kila rais anavutia kwake...ila nyerere na sera yake ya undugulization hovyo kabisa...angelimbikiza kila kitu musoma hope tungekuwa tunakimbiza..kwa sasa
Majengo ya IFM yatatumika kwa shughuli gani?