Chuo cha Institute of Accountancy Arusha wamechukua ada zetu hawapokei simu

Chuo cha Institute of Accountancy Arusha wamechukua ada zetu hawapokei simu

Kitoabu

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
10,677
Reaction score
11,768
Hiki chuo kilianziasha mafunzo kwa ngazi ya Masters kwa mfumo wa long distance learning. Na hoja zao ilikuwa kuwa watakuwa wanaweka recorded video za masomo ya darasani kwenye moodle yao ili wale wa blended wawe na uwezo wa kujipakulia na kusoma.

Lakini baada ya kuchukua ada zetu simu zao wakawa hawapokei zaid ya hapo hakuna video wanazoweka, mkiwapigia sana malecture wanawawekea kivideo cha dakika mbili then assignment.

Huu ni wizi wa mchana kwanini mimi nilipe 4.4mil sawa na mtu anaesoma fulltime then usinifundishe usubirie tufeli. Waziri anatakiwa achungulie hili swala ikiwezekana kifungwe kwa wizi.
 
Vipi mkuu, zile ruby na mavito ya Mozambique, uliachana nayo? Waendee kwa yule mtaalamu wa vimwekumweku akili iwarudie
 
Mambo serious kama hayo si ya kupiga simu mi mkuu nikitoa ata 10k aijafnyiwa kazi naenda mpaka ofisini wewe umelipa 4.4 M funga safari mpaka Arusha mkaumane hukohuko
 
Back
Top Bottom