king Chuga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 510
- 52
Chuo cha kampala kimepunguza ada zake kwa kiwango kikibwa mno kuzidi ata vyuo vingine vya serikali. Habari nilizopewa na mwanafunzi mmoja wa chuo icho amesema sasa atalipa sh laki 4 za Kitanzania kwa semester na sio laki 9 kwa Semester kama ilivyokua awali .