DOKEZO Chuo cha Kampala tawi la Dar Es Salaam kinafanya ’janja-janja’ katika kozi za Udaktari. Mamlaka na TCU njooni mfanye Uchunguzi

DOKEZO Chuo cha Kampala tawi la Dar Es Salaam kinafanya ’janja-janja’ katika kozi za Udaktari. Mamlaka na TCU njooni mfanye Uchunguzi

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Chuo cha kampala kinadahili wanafunzi wengi kuliko capacity yake. Kwa mfano sisi mwaka wa kwanza ilitakiwa wachukue wanafunzi 150 tu lakini walichukua watu Mia tatu na kitu

Pili hakina walimu wa kutosha kwa kozi ya shahada ya udaktari wa binadamu, paediatrics kuna mwalimu mmoja tu, gynecology kuna mwalimu mmoja tu, hivyo inapelekea kutahiniwa na mwalimu mmoja hata clinical exam kitu ambacho si sawa.

Tatu na ambayo ndo shida haswa ni kuhusu matokeo ya mitihani ambapo wamefuta matokeo ya semester 1 ya mwaka wa 3 bila sababu za msingi eti turudie mtihani wakati tulishafanya na matokeo yakatoka yakiwa na massive failure kwa sababu hatukufundishwa. Sasa tupo semester ya pili na tuna week 6 tu kumaliza hii semester lakini wanataka tuanze kusoma masomo ya semester waliofuta matokeo alaf tuje kufanya oral viva ili watupe marks hii sio sawa hata kidogo.

Muda ni mchache huwezi kusoma masomo yote manne ndani ya week 6 na ukafaulu mtihani yaani usome pediatrics, internal medicine, surgery na obs and gyn, hii ni unfair na sio utaratibu kwa maana waliofeli wafanye sup zao na waliofaulu waendelee mbele.

Sasa kama mtu alifaulu na sasa akafeli watarudia tena kufuta matokeo?

Hii sio sawa na Kampala imekuwa na tabia za kujiamulia kufanya wanavyotaka wao. Maana nasomaje semester ya pili wakati sija qualify semester 1.

TCU na Wizara ya Elimu njooni KIU kuna madudu mengi sana.

Mwisho siwashauri watu kusoma chuo cha Kampala
 
Chuo cha kampala kinadahili wanafunzi wengi kuliko capacity yake. Kwa mfano sisi mwaka wa kwanza ilitakiwa wachukue wanafunzi 150 tu lakini walichukua watu Mia tatu na kitu

Pili hakina walimu wa kutosha kwa kozi ya shahada ya udaktari wa binadamu, paediatrics kuna mwalimu mmoja tu, gynecology kuna mwalimu mmoja tu, hivyo inapelekea kutahiniwa na mwalimu mmoja hata clinical exam kitu ambacho si sawa.

Tatu na ambayo ndo shida haswa ni kuhusu matokeo ya mitihani ambapo wamefuta matokeo ya semester 1 ya mwaka wa 3 bila sababu za msingi eti turudie mtihani wakati tulishafanya na matokeo yakatoka yakiwa na massive failure kwa sababu hatukufundishwa. Sasa tupo semester ya pili na tuna week 6 tu kumaliza hii semester lakini wanataka tuanze kusoma masomo ya semester waliofuta matokeo alaf tuje kufanya oral viva ili watupe marks hii sio sawa hata kidogo.

Muda ni mchache huwezi kusoma masomo yote manne ndani ya week 6 na ukafaulu mtihani yaani usome pediatrics, internal medicine, surgery na obs and gyn, hii ni unfair na sio utaratibu kwa maana waliofeli wafanye sup zao na waliofaulu waendelee mbele.

Sasa kama mtu alifaulu na sasa akafeli watarudia tena kufuta matokeo?

Hii sio sawa na Kampala imekuwa na tabia za kujiamulia kufanya wanavyotaka wao. Maana nasomaje semester ya pili wakati sija qualify semester 1.

TCU na Wizara ya Elimu njooni KIU kuna madudu mengi sana.

Mwisho siwashauri watu kusoma chuo cha Kampala
Pole sana, I can imagine the pain you are going through!

Kampala siyo chuo, ni takataka. kwanini mlikwenda pale? Mnatafuta urahisi. Hicho siyo chuo ni insult kwenye taaluma ya udaktari,tena wa binadamu.

Kuna wakati walikuwa na first class kama 20 hivi mwaka mmoja faculty moja....... kitu ambacho dunia nzima hakijawahikutokea kwa vyuo vyenye heshima.
sasa wanagwa Uprofesa kwa watu ambao hawana sifa.
 
Licha na mapungufu ya kiuongozi, Hayati Magufuli alinyoosha sana kwenye suala la elimu.
Angalau janjajanja zilipungua baada ya vyuo vingi kufungiwa.
 
Hata intake ya mwaka jana, nadhani wataku wamedahili wanafunzi 500+ wa udaktari.

Hapo hakuna elimu tena. Vyuo takribani vyote vimeongeza idadi ya udahili.
 
Chuo cha kampala kinadahili wanafunzi wengi kuliko capacity yake. Kwa mfano sisi mwaka wa kwanza ilitakiwa wachukue wanafunzi 150 tu lakini walichukua watu Mia tatu na kitu

Pili hakina walimu wa kutosha kwa kozi ya shahada ya udaktari wa binadamu, paediatrics kuna mwalimu mmoja tu, gynecology kuna mwalimu mmoja tu, hivyo inapelekea kutahiniwa na mwalimu mmoja hata clinical exam kitu ambacho si sawa.

Tatu na ambayo ndo shida haswa ni kuhusu matokeo ya mitihani ambapo wamefuta matokeo ya semester 1 ya mwaka wa 3 bila sababu za msingi eti turudie mtihani wakati tulishafanya na matokeo yakatoka yakiwa na massive failure kwa sababu hatukufundishwa. Sasa tupo semester ya pili na tuna week 6 tu kumaliza hii semester lakini wanataka tuanze kusoma masomo ya semester waliofuta matokeo alaf tuje kufanya oral viva ili watupe marks hii sio sawa hata kidogo.

Muda ni mchache huwezi kusoma masomo yote manne ndani ya week 6 na ukafaulu mtihani yaani usome pediatrics, internal medicine, surgery na obs and gyn, hii ni unfair na sio utaratibu kwa maana waliofeli wafanye sup zao na waliofaulu waendelee mbele.

Sasa kama mtu alifaulu na sasa akafeli watarudia tena kufuta matokeo?

Hii sio sawa na Kampala imekuwa na tabia za kujiamulia kufanya wanavyotaka wao. Maana nasomaje semester ya pili wakati sija qualify semester 1.

TCU na Wizara ya Elimu njooni KIU kuna madudu mengi sana.

Mwisho siwashauri watu kusoma chuo cha Kampala
subiri waje kuwaonga JF wakupige ban au ufutwe uzi
 
Pole sana, I can imagine the pain you are going through!

Kampala siyo chuo, ni takataka. kwanini mlikwenda pale? Mnatafuta urahisi. Hicho siyo chuo ni insult kwenye taaluma ya udaktari,tena wa binadamu.

Kuna wakati walikuwa na first class kama 20 hivi mwaka mmoja faculty moja....... kitu ambacho dunia nzima hakijawahikutokea kwa vyuo vyenye heshima.
sasa wanagwa Uprofesa kwa watu ambao hawana sifa.
Vyuo vingi vya Bongo ni magumashi. Hii ni kwa sababu CCM ilishashindwa kila kitu. Imebaki tu watu kujisifia na titles za usomi. Mara dr. Samia, dr Kikwete. Mpaka kwenye michezo utakuta bado kuna watu wanang'ang'ania na wamehamia huko na title za kujibambika. Eti injinia Haris... Baada ya kushindwa kufanya kitu cha maana kwenye sekta ya uinjinia mtu anakimbilia kwenye mchezo na ''uinjinia'' wake.
 
Mamlaka zetu zimelala sana. Inawezekana wanajua lakini wamefungwa 'mdomo'.

Siku za mbeleni elimu yetu itakuwa imejifia kabisa.

Hapa tulipo ni 'Hali jojo' na wala hatushtuki.
 
Hata intake ya mwaka jana, nadhani wataku wamedahili wanafunzi 500+ wa udaktari.

Hapo hakuna elimu tena. Vyuo takribani vyote vimeongeza idadi ya udahili.
Halafu watu wanashangaa kwa nini wagonjwa wanakufa sana hata kwa operesheni za kawaida tu kama C-section. Ujanja ujanja mpaka kwenye elimu na taaluma za muhimu. Hovyo tu!

Hao TCU kazi yao hasa ni nini? Vyuo vingi kama uyoga ukienda huko hakuna PhDs. Unaweza kuta department nzima ina PhD mmoja au wawili wengine wote TAs na wenye Masters. Halafu tukizalisha wahitimu magharasha ambao hata hawana fununu mambo yakoje huku duniani tunashangaa. We are never serious on anything except ufisadi 🚮🚮🚮
 
Hicho chuo kuna mwaka kipindi cha magufuli wanafunzi walimaliza bila kupewa certificate kwasababu walikuwa hawana vigezo walichukua mpaka wanafunzi wa arts wao wanaangalia hela tu wanajifanya wanalipa kwa dollar ila fanya mpango uondoke hapo hakuna chuo ni utapeli tu.
 
Chuo cha kampala kinadahili wanafunzi wengi kuliko capacity yake. Kwa mfano sisi mwaka wa kwanza ilitakiwa wachukue wanafunzi 150 tu lakini walichukua watu Mia tatu na kitu

Pili hakina walimu wa kutosha kwa kozi ya shahada ya udaktari wa binadamu, paediatrics kuna mwalimu mmoja tu, gynecology kuna mwalimu mmoja tu, hivyo inapelekea kutahiniwa na mwalimu mmoja hata clinical exam kitu ambacho si sawa.

Tatu na ambayo ndo shida haswa ni kuhusu matokeo ya mitihani ambapo wamefuta matokeo ya semester 1 ya mwaka wa 3 bila sababu za msingi eti turudie mtihani wakati tulishafanya na matokeo yakatoka yakiwa na massive failure kwa sababu hatukufundishwa. Sasa tupo semester ya pili na tuna week 6 tu kumaliza hii semester lakini wanataka tuanze kusoma masomo ya semester waliofuta matokeo alaf tuje kufanya oral viva ili watupe marks hii sio sawa hata kidogo.

Muda ni mchache huwezi kusoma masomo yote manne ndani ya week 6 na ukafaulu mtihani yaani usome pediatrics, internal medicine, surgery na obs and gyn, hii ni unfair na sio utaratibu kwa maana waliofeli wafanye sup zao na waliofaulu waendelee mbele.

Sasa kama mtu alifaulu na sasa akafeli watarudia tena kufuta matokeo?

Hii sio sawa na Kampala imekuwa na tabia za kujiamulia kufanya wanavyotaka wao. Maana nasomaje semester ya pili wakati sija qualify semester 1.

TCU na Wizara ya Elimu njooni KIU kuna madudu mengi sana.

Mwisho siwashauri watu kusoma chuo cha Kampala
Kwa Ufupi Kampala ambayo Ina Mkono wa Kikwete , ni chuo Bovu linalozalisha Madaktari Uchwaraaaaaa .


WAZIRI NDALICHAKO,WAKATI WA MAGUFULI, CHUO HIKO KILIZUIWA KUDAHILI WANAFUNZI WA UDAKTARI.
 
Chuo cha kampala kinadahili wanafunzi wengi kuliko capacity yake. Kwa mfano sisi mwaka wa kwanza ilitakiwa wachukue wanafunzi 150 tu lakini walichukua watu Mia tatu na kitu

Pili hakina walimu wa kutosha kwa kozi ya shahada ya udaktari wa binadamu, paediatrics kuna mwalimu mmoja tu, gynecology kuna mwalimu mmoja tu, hivyo inapelekea kutahiniwa na mwalimu mmoja hata clinical exam kitu ambacho si sawa.

Tatu na ambayo ndo shida haswa ni kuhusu matokeo ya mitihani ambapo wamefuta matokeo ya semester 1 ya mwaka wa 3 bila sababu za msingi eti turudie mtihani wakati tulishafanya na matokeo yakatoka yakiwa na massive failure kwa sababu hatukufundishwa. Sasa tupo semester ya pili na tuna week 6 tu kumaliza hii semester lakini wanataka tuanze kusoma masomo ya semester waliofuta matokeo alaf tuje kufanya oral viva ili watupe marks hii sio sawa hata kidogo.

Muda ni mchache huwezi kusoma masomo yote manne ndani ya week 6 na ukafaulu mtihani yaani usome pediatrics, internal medicine, surgery na obs and gyn, hii ni unfair na sio utaratibu kwa maana waliofeli wafanye sup zao na waliofaulu waendelee mbele.

Sasa kama mtu alifaulu na sasa akafeli watarudia tena kufuta matokeo?

Hii sio sawa na Kampala imekuwa na tabia za kujiamulia kufanya wanavyotaka wao. Maana nasomaje semester ya pili wakati sija qualify semester 1.

TCU na Wizara ya Elimu njooni KIU kuna madudu mengi sana.

Mwisho siwashauri watu kusoma chuo cha Kampala
Kwani hakuna kubeba module?
Au degree za nyakati hizi zikoje?

I do remember those days una carry au una disco baada yakushindwa kuitoa supp...
 
Chuo cha kampala kinadahili wanafunzi wengi kuliko capacity yake. Kwa mfano sisi mwaka wa kwanza ilitakiwa wachukue wanafunzi 150 tu lakini walichukua watu Mia tatu na kitu

Pili hakina walimu wa kutosha kwa kozi ya shahada ya udaktari wa binadamu, paediatrics kuna mwalimu mmoja tu, gynecology kuna mwalimu mmoja tu, hivyo inapelekea kutahiniwa na mwalimu mmoja hata clinical exam kitu ambacho si sawa.

Tatu na ambayo ndo shida haswa ni kuhusu matokeo ya mitihani ambapo wamefuta matokeo ya semester 1 ya mwaka wa 3 bila sababu za msingi eti turudie mtihani wakati tulishafanya na matokeo yakatoka yakiwa na massive failure kwa sababu hatukufundishwa. Sasa tupo semester ya pili na tuna week 6 tu kumaliza hii semester lakini wanataka tuanze kusoma masomo ya semester waliofuta matokeo alaf tuje kufanya oral viva ili watupe marks hii sio sawa hata kidogo.

Muda ni mchache huwezi kusoma masomo yote manne ndani ya week 6 na ukafaulu mtihani yaani usome pediatrics, internal medicine, surgery na obs and gyn, hii ni unfair na sio utaratibu kwa maana waliofeli wafanye sup zao na waliofaulu waendelee mbele.

Sasa kama mtu alifaulu na sasa akafeli watarudia tena kufuta matokeo?

Hii sio sawa na Kampala imekuwa na tabia za kujiamulia kufanya wanavyotaka wao. Maana nasomaje semester ya pili wakati sija qualify semester 1.

TCU na Wizara ya Elimu njooni KIU kuna madudu mengi sana.

Mwisho siwashauri watu kusoma chuo cha Kampala
Shida kila mtu anataka kuwa daktari.
 
Back
Top Bottom