A
Anonymous
Guest
Chuo cha kampala kinadahili wanafunzi wengi kuliko capacity yake. Kwa mfano sisi mwaka wa kwanza ilitakiwa wachukue wanafunzi 150 tu lakini walichukua watu Mia tatu na kitu
Pili hakina walimu wa kutosha kwa kozi ya shahada ya udaktari wa binadamu, paediatrics kuna mwalimu mmoja tu, gynecology kuna mwalimu mmoja tu, hivyo inapelekea kutahiniwa na mwalimu mmoja hata clinical exam kitu ambacho si sawa.
Tatu na ambayo ndo shida haswa ni kuhusu matokeo ya mitihani ambapo wamefuta matokeo ya semester 1 ya mwaka wa 3 bila sababu za msingi eti turudie mtihani wakati tulishafanya na matokeo yakatoka yakiwa na massive failure kwa sababu hatukufundishwa. Sasa tupo semester ya pili na tuna week 6 tu kumaliza hii semester lakini wanataka tuanze kusoma masomo ya semester waliofuta matokeo alaf tuje kufanya oral viva ili watupe marks hii sio sawa hata kidogo.
Muda ni mchache huwezi kusoma masomo yote manne ndani ya week 6 na ukafaulu mtihani yaani usome pediatrics, internal medicine, surgery na obs and gyn, hii ni unfair na sio utaratibu kwa maana waliofeli wafanye sup zao na waliofaulu waendelee mbele.
Sasa kama mtu alifaulu na sasa akafeli watarudia tena kufuta matokeo?
Hii sio sawa na Kampala imekuwa na tabia za kujiamulia kufanya wanavyotaka wao. Maana nasomaje semester ya pili wakati sija qualify semester 1.
TCU na Wizara ya Elimu njooni KIU kuna madudu mengi sana.
Mwisho siwashauri watu kusoma chuo cha Kampala
Pili hakina walimu wa kutosha kwa kozi ya shahada ya udaktari wa binadamu, paediatrics kuna mwalimu mmoja tu, gynecology kuna mwalimu mmoja tu, hivyo inapelekea kutahiniwa na mwalimu mmoja hata clinical exam kitu ambacho si sawa.
Tatu na ambayo ndo shida haswa ni kuhusu matokeo ya mitihani ambapo wamefuta matokeo ya semester 1 ya mwaka wa 3 bila sababu za msingi eti turudie mtihani wakati tulishafanya na matokeo yakatoka yakiwa na massive failure kwa sababu hatukufundishwa. Sasa tupo semester ya pili na tuna week 6 tu kumaliza hii semester lakini wanataka tuanze kusoma masomo ya semester waliofuta matokeo alaf tuje kufanya oral viva ili watupe marks hii sio sawa hata kidogo.
Muda ni mchache huwezi kusoma masomo yote manne ndani ya week 6 na ukafaulu mtihani yaani usome pediatrics, internal medicine, surgery na obs and gyn, hii ni unfair na sio utaratibu kwa maana waliofeli wafanye sup zao na waliofaulu waendelee mbele.
Sasa kama mtu alifaulu na sasa akafeli watarudia tena kufuta matokeo?
Hii sio sawa na Kampala imekuwa na tabia za kujiamulia kufanya wanavyotaka wao. Maana nasomaje semester ya pili wakati sija qualify semester 1.
TCU na Wizara ya Elimu njooni KIU kuna madudu mengi sana.
Mwisho siwashauri watu kusoma chuo cha Kampala