DOKEZO Chuo cha Kampala tawi la Dar Es Salaam kinafanya ’janja-janja’ katika kozi za Udaktari. Mamlaka na TCU njooni mfanye Uchunguzi

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hilo suala la kusema kindahili wanafunzi wengi hio ni uwongo ......hakuna chuo kinachodahili wanafunzi wengi maanq mwanachuo hawez kua mwanachuo bila kupitishwa na bodi za afya na confirmation kule nacte au tcu ...watu wakiwa wengi nacte au tcu wanareject ....lkn pia kuhusu waalimu wa obgy ..paedi ..surgery..Rch anatomy..gyna wapo wengi sana naweza ata kuwataja hapa ....usichafue chuo broooo na usipotoshe watu ....
 
Mkuu inaonekana umedisco bila hata ya kwenda club, Sasa Mkuu tumia muda huu kurekebisha ulipojikwaa, Acha kuchafua Taasisi za watu, unalalamika chuo hakifai lakini hapo hapo na wewe umeenda hapo hapo, Hii ni ishara kubwa kuwa vyuo vingine vikubwq kama Muhimbili, KCMC uli disquality kipindi cha ku apply
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…