Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilosa, Tanga, Lindi, Mtwara, na vingne vingiVyuo gani ambavyo umeona waombaji ni wachache kulinganisha Lugalo pamoja na Kibaha? ambavyo vina waombaji wengi.
Nimekupata mkuuVina competition,Wanao pewa kipaombele ni walio maliza form four hivi karibuni 2021,2020.2014 akiomba sidhani kama atapata kulinganisha na hivyo vyuo vingine,Sidhani kama Wana angalia pass kwenye masomo ya sayansi kwamba uwe na "D" 4 nafikiri kuanzia B,C,A,Jumlisha kuna form four walio omba Moja Kwa Moja wenyewe hawakuomba kwenda form five. Ko lazima idadi iwe ndogo Kwa waombaji
Lkn vp upande wa ufaulishaji kw wanafunziKibaha na Lugalo vipi mjini na watu wengi hupenda kusoma ndani au karibu na DSM
Mwaka ulioisha Lugalo C.Medicine level 6 wa mwisho alikua na 4.3 na GPA za 5 za kutoshaLkn vp upande wa ufaulishaji kw wanafunzi